Lovelovie
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 12,582
- 26,053
😂😂😂😂😂Mim sipashagi macabbage.Tutaona Niko pale,kesho tu ,utabeba mabegi,uje useme bby turudiane,naloga haswa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂😂😂Mim sipashagi macabbage.Tutaona Niko pale,kesho tu ,utabeba mabegi,uje useme bby turudiane,naloga haswa
Na pia nasapoti hoja ya Masculinity, Masculinity inahusu wanaume wanaojitegemea, huwezi kula mbususu nyumbani Kwa mwanamke, mbususu iliwe kwako, huo ndo uanaume.Ya kweli hayo?! Mbona mada zako unatoa unaonekana kama jinsia kinzani?! Au mchele mchele?! 🤔
Hapa hatuwezi kuelewana. Hebu kesho tuonane tuongee vizuri 🤔 tupeane lectureHivi ww ungekua mwanamke ungeweza kupeana mbususu yako kwa kila anaekuomba?
Eeh ndio wanawake wa kiafrika kumbe hao wa kizungu wanagongwa na kila anaewaomba.
Basi hongera zao.
Haha utayapasha tu tena kwaheshima zote,yawe kama yametoka shambani,mapyaaa😂😂😂😂😂Mim sipashagi macabbage.
Bora mtu akuombe unaweza mwambia kistarabu ndio au hapana.Alikuomba nyapu nini
Ya kweli hayo?! Mbona mada zako unatoa unaonekana kama jinsia kinzani?! Au mchele mchele?! 🤔
😂😂😂😂Mim huyu eeeh nishakwambia me mwenyewe mganga utajuaHaha utayapasha tu tena kwaheshima zote,yawe kama yametoka shambani,mapyaaa
Nilifunzwa na somo na kungwi kwa hyo hayo mengine yatakua marudioHapa hatuwezi kuelewana. Hebu kesho tuonane tuongee vizuri 🤔 tupeane lecture
VyemaSiwez kujampishwa na ujinga
Mganga akikutana na mafia zaidi ,inakua kama mkate na chai ya moto ,lazima akae😂😂😂😂Mim huyu eeeh nishakwambia me mwenyewe mganga utajua
Eeeh shauri akoMganga akikutana na mafia zaidi ,inakua kama mkate na chai ya moto ,lazima akae
Kama nyie msivtiweza kuwa na mwanaume bila kuomba hela ndivyo na wanaume haturuhusu kutumika bila kujilipaWanaume ni viumbe wa ajabu sana. Baadhi yao wakishahitaji kuwa na mtu, watatumia kila mbinu ili ampate. Tatizo linakuja pale huyo asipokubaliana na suala lake..
Wengi huchukia na hadi kutengeneza uadui. Hivi, niwaulize wanaume kwanza...hamuwezi kujenga urafiki na mtu bila mapenzi? Kwanini wengi wako hivyo?
Yaani...
Ninacho amini mpaka unanialika kwako yapo mazingira kabla ambayo yamestawi mpaka kufikia kukuvunjoa heshima kwako. Siwezi tu from no where nikaanza kuforce penzi kama Nguruwe.Nyumbani kwangu lazima kuwe na mipaka.
Yani uwe muhuni sijui uweje hyo juu yako lkn kweny nyumba angu aiseh lazima kuheshimu.
LOL! Good for you!Nilifunzwa na somo na kungwi kwa hyo hayo mengine yatakua marudio
[emoji28][emoji16]Akuna urafiki kati ya simba na swala labda simba mzee