Alikuja kwangu, akataka tufanye mapenzi, sikuwa tayari alikasirika sana

Alikuja kwangu, akataka tufanye mapenzi, sikuwa tayari alikasirika sana

Ndio huyo huyo kitaani tunamwita kaka mwarabu mzee wa kudhulumu mali za watu😂😂😂
Ommy dimpoz inasemekana kaoa juzijuzi bana 😊

Nilipita mikocheni karibu na nyumbani kwake wiki hii iliyopita pale mikocheni, mtaa wa Sayore nikapishana na mrembo wa kiarabu kajisitiri... huenda ndo chombo chake.

Habari zaidi za undani wa hao mabwana na urafiki wao anaujua cocastic 😅👍🏾
 
Ommy dimpoz inasemekana kaoa juzijuzi bana 😊

Nilipita mikocheni karibu na nyumbani kwake wiki hii iliyopita pale mikocheni, mtaa wa Sayore nikapishana na mrembo wa kiarabu kajisitiri... huenda ndo chombo chake.

Habari zaidi za undani wa hao mabwana na urafiki wao anaujua cocastic 😅👍🏾
Wale watu wamemuharibu Ommy Nyembo na pia yule Gavana wa zamani wa mombasa.Kama kaoa ni jambo la kheri kwa ndugu yetu.
 
Mmiliki amefanya investment kubwa sana hapo ila bahati mbaya hakuna output... watu wanapanga fremu miezi sita wanakimbia. Jengo kubwa lakini pako empty! Atleast hiyo bar hapo ndo inachangamsha.
Unachangaya majengo mkuu kumekucha plaza kuna baa si ni fremu tupu au unasema piala ndio watu wanahama hamna biashara pale kodi kubwa
 
Wale watu wamemuharibu Ommy Nyembo na pia yule Gavana wa zamani wa mombasa.Kama kaoa ni jambo la kheri kwa ndugu yetu.
Sasa si yeye mwenyewe anataka kujipendekeza kwa vijana wa kiume wa kiarabu?! Nani alisemaga kuna urafiki wa mtu mweupe mwenye asili ya Asia na mwafrika mweusi?! Hao na sisi we totally different! Ni shobo na kulazimisha mambo


BLACKS AND WHITES ARE NOT RESEMBLES!
 
Sasa si yeye mwenyewe anataka kujipendekeza kwa vijana wa kiume wa kiarabu?! Nani alisemaga kuna urafiki wa mtu mweupe mwenye asili ya Asia na mwafrika mweusi?! Hao na sisi we totally different! Ni shobo na kulazimisha mambo


BLACKS AND WHITES ARE NOT RESEMBLES!
Madogo wengi maarufu dar wameharibika,ni chakula ya watu🤣🤣🤣
 
INAUMIZA SANA! wana kauli mbiu yao wanasema "whether it's legal or illegal..., we die rich!" 😅😅😅👍🙌🏾
Daah kuna mwanangu mbongo fleva yupo USAFINI mpaka leo siamini kama ni chakula cha wana sijui nini kilimkuta kuchukua tabia ile.Na yule dogo wa kiume wa marehemu mzee MACHACHE ambae ameoa karibuni nae ni pigo hizo hizo.
 
INAUMIZA SANA! wana kauli mbiu yao wanasema "whether it's legal or illegal..., we die rich!" 😅😅😅👍🙌🏾
Daah kuna mwanangu mbongo fleva yupo USAFINI mpaka leo siamini kama ni chakula.Sijui nini kilimukuta kuchukua tabia ile.Na yule dogo wa kiume wa marehemu mzee MACHACHE ambae ameoa karibuni.
 
Wanaume ni viumbe wa ajabu sana. Baadhi yao wakishahitaji kuwa na mtu, watatumia kila mbinu ili ampate. Tatizo linakuja pale huyo asipokubaliana na suala lake.

Wengi huchukia na hadi kutengeneza uadui. Hivi, niwaulize wanaume kwanza...hamuwezi kujenga urafiki na mtu bila mapenzi? Kwanini wengi wako hivyo?

Yaani.
Uchoyo tu unakusumbua wewe binti.

Kitu Mungu amekupa bure, kwanini umnyime mwenzio? isitoshe hata ukimpa haondoki nacho wala haachi alama.

Na hata ukifa huendi nacho mahali, zaidi ya kuliwa na wadudu tu huko mavumbini, wadudu ambao wakati uko huko mavumbini hutakuwa na uwezo wa kuwanyima?

Je, wewe ukinyimwa utajisikiaje?

hivi kwanini watu ni wachoyo kiasi hichi?

Hizo ni dalili za kuonyesha kuwa hata ukipiga dili ya hela, wenzako mliopiganao dili utawadhulumu. Huo ni ubinafsi wa hali ya juu, hutakiwi hata kupewa uongozi wa shule ya chekechea, utanyima watoto uji.
 
Back
Top Bottom