Alikuwa anaenda kuolewa akamtumia ujumbe Ex eti waagane, imefanya niwaze sana kuhusu suala la kuoa

Alikuwa anaenda kuolewa akamtumia ujumbe Ex eti waagane, imefanya niwaze sana kuhusu suala la kuoa

Mwanamke ni sawa na bidhaa ya dukani kabla hujapewa mnunuzi(mume mtarajiwa), muuzaji(Dear X) lazima aweke kwenye mfuko ndio akupe wewe.
 
Wanaume na umbea.... ni nini mbaya na nyie?
Achana naye huyo, nipee mimi uroda nitakusitiri wala sitamwambia hata Shetani siri yetu kabla ya sendoff ya Mchumba wako...[emoji847]

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Juzi niliudhuria send-off Moja mkoa X, Huyu Binti ni mwenyeji wa huo mkoa, sasa alipata mchumba mkoa mwingine na alikubali kuolewa, aliyekuja kumuoa alimwambia direct kwamba nataka kukuoa, yule mwanamke hakukataa licha ya kua na mahusiano yake ya mwanzo (alikubali kwa sababu mtu wake wa mwanzo alikua aeleweki kuhusu ndoa), huyo mtu wa mwanzo wa bibi harusi ni rafiki yangu,

Send off imefanyika jumapili, leo yupo safarini kwenda kwenye sherehe ya ndoa mkoa mwingine alipo bwana wake mpya, lakini cha kushangaza Jana huyu bibi harusi mtarajiwa alikua anamlazimisha mshikaji wangu ambaye ni ex wa Huyo Bibi harusi, aende wakaagane (sms nilisoma), Tena bibi harusi akasema "usipokuja nitakuchukia maisha yangu yotee, nataka unipe show ya nguvu tuagane"

Nilivyosoma hiyo sms nikajikuta namuonea huruma bwana harusi, huko alipo amepambana kuunda kamati, amekopa ili kufanikisha sherehe, anajua mke wake mtarajiwa yuko kwenye send-off kumbe mke mtarajiwa analilia dudu la yuyu.

Imenifanya niwaze sana na kuona ugumu uliopo kwa vijana wa kipindi hiki kuoa, sometimes nawaelewa wanaosema ni Bora uoe bikra, kwa sababu utakua na assuarance kwamba hiyo kitu haijachakazwaaa.

Kuchakazwa sio shida, shida ni bond waliyokua nayo na mchakazaji, nipo karibu na chuo cha NIT mabibo hapa, naona watoto wanavyochakazana, Yani wanasuguana haswaa mpaka na kufungana kamba, lakini kumbuka huyo ni mke wa mtu mwingine wa baadae.

Kizazi hiki ukiona mtu ameoa, ujue amekubaliana kujivika mabomu, Tena akiwa ni msomi, yaani umekutana nae baada ya kumaliza chuo sijui kama atakuheshimu, na ukimkuta yupo kazini basi wewe vidonge vya pressure jitahidi uanze kuvijua mapema.
Tatizo ni kuwa hakuna mwanamke asiye na mwanaume we oa tu
 
Shida ilianzia hapa,
Kuoa/kuolewa sio kama kununua alikasusu,
U need to learn, accept the challenge and build a strong friendship, sio unavamia kama unanunua mkaa!
Ke yeyote lazima tu afiche tabia halisi, ilipaswa;

* Urafiki wa kawaida bila ya Me kumwonesha dalili zozote Ke za kimahaba,

* Mapenzi bila Ke kujua lengo au hatma ya mapenzi.

* Uchumba.

* Ndoa.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Juzi niliudhuria send-off Moja mkoa X, Huyu Binti ni mwenyeji wa huo mkoa, sasa alipata mchumba mkoa mwingine na alikubali kuolewa, aliyekuja kumuoa alimwambia direct kwamba nataka kukuoa, yule mwanamke hakukataa licha ya kua na mahusiano yake ya mwanzo (alikubali kwa sababu mtu wake wa mwanzo alikua aeleweki kuhusu ndoa), huyo mtu wa mwanzo wa bibi harusi ni rafiki yangu,

Send off imefanyika jumapili, leo yupo safarini kwenda kwenye sherehe ya ndoa mkoa mwingine alipo bwana wake mpya, lakini cha kushangaza Jana huyu bibi harusi mtarajiwa alikua anamlazimisha mshikaji wangu ambaye ni ex wa Huyo Bibi harusi, aende wakaagane (sms nilisoma), Tena bibi harusi akasema "usipokuja nitakuchukia maisha yangu yotee, nataka unipe show ya nguvu tuagane"

Nilivyosoma hiyo sms nikajikuta namuonea huruma bwana harusi, huko alipo amepambana kuunda kamati, amekopa ili kufanikisha sherehe, anajua mke wake mtarajiwa yuko kwenye send-off kumbe mke mtarajiwa analilia dudu la yuyu.

Imenifanya niwaze sana na kuona ugumu uliopo kwa vijana wa kipindi hiki kuoa, sometimes nawaelewa wanaosema ni Bora uoe bikra, kwa sababu utakua na assuarance kwamba hiyo kitu haijachakazwaaa.

Kuchakazwa sio shida, shida ni bond waliyokua nayo na mchakazaji, nipo karibu na chuo cha NIT mabibo hapa, naona watoto wanavyochakazana, Yani wanasuguana haswaa mpaka na kufungana kamba, lakini kumbuka huyo ni mke wa mtu mwingine wa baadae.

Kizazi hiki ukiona mtu ameoa, ujue amekubaliana kujivika mabomu, Tena akiwa ni msomi, yaani umekutana nae baada ya kumaliza chuo sijui kama atakuheshimu, na ukimkuta yupo kazini basi wewe vidonge vya pressure jitahidi uanze kuvijua mapema.
Wanawake wako wengi sana mkuu, kufanya majumuisho kwa kumuangalia mmoja hujajitendea haki hata kidogo, nakushauri km una plan za kuoa OA tu, wanawake wazuri, wastaarabu wapo sana tu unless km plan yako ni kuhakikisha unakuwa shoga ama baba mwenye watoto waliolelewa kihuni na wasio na maadili. Ni either of the two, huna namna ingine
 
Uzuri bado hawaja oana. So acha binti aage makoloni yake.

Sasa kama alikua anakula 2months before send off. Akiliwa 1 Week before harusi what is the main differrence hapa?

Kwanza hatujui hata buana harusi amelala wapi [emoji16][emoji16]

Acheni watu waishi bhana
 
Back
Top Bottom