Alpha fucks, beta bucks- Rollo tomassi in rational male, Ukielewa maana ya huo msemo, utaelewa kwanini Huyo demu alikukataa kipindi kile, na sahivi kakukubali Vocal FremitusNilijaribu kumtega kumuuliza kwann kipindi kile kabla hajapigwa mimba alinikataa. Akadai tu utoto hakua anajitambua na alikua anadanganywa na wenzake. Sasa hivi anataka nimpe second chance tufanye maisha.
Shida sio wewe kunikataa, kunikataa ni haki yako, ila kwanini leo Nikikutongoza unikatae, hlf mwaka kesho unishobokee kimapenzi eti unanitaka, nimebadilika nini? Huyo mdada Si angetafuta wanaume wengine tofauti na mtoa mada? Mrs LissuKwani ukitongoza lazima ukubaliwe? Huenda alikua ana mpenzi wake hakutaka mambo mengi...🚮
@Vocal Fremitus kakufata bhana na uku kwa njia nyingine[emoji28][emoji23][emoji23][emoji23]Msamehe tu jaman umkumbalie mungu hapendi[emoji12]
Daaah umewaza mbali saaana.. Point taken [emoji1690]Hehehhe ma Ex wanaongoza kwa maambukizi ya ukimwi kama ukirudiana nao
Sasa watu wakushauri upite nae afu umpotezee usije ukatulilia humu ndani badae
Mpotezee usipoteze muda mkuu
Kwakweli hii imenishangaza saaana. Ni kama vile ameniona mimi ni chaguo lake la mwisho kabisaSio lazima ukubaliwe
Sasa mbona anarudi kumtafuta aliyemkataa si aendelee na mpenzi wake
Maana yeye ndiyo ameanza kumtafuta jamaa after 8years
Mkipigwa chini huko ndiyo anatusumbua
Pumbavu kabsaaa
Nimekusoma Zege la nyasi, tatizo amekua king'ang'anizi mpaka keroKaka usijaribu kulamba asali hiyo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wameshikilia vitengo muhimu na wewe chagua kazi moja hapo jiweke acha kulaumu
Sasa mimi kinachonishangaza imekuaje miaka yote ile alikua ananikwepa na hakunitafuta kama kweli anadai ana mapenz na mimi. Hayo mapenz yametokea wapi? Usikute karatasi aliitupa, katika kufanya usafi ndani ndio kaiona akaona ngoja nimcheki huyu boyaNilichokuja kugundua wanawake wanakariri namba hata ikitokea ukimuacha au akikuacha nikiunganisha hicho kisa chako na kisa changu na baadhi ya wadau kwasababu mtu anakucha miaka minne au mitano ila unashangaa siku umeshasahau kabisa anakupigia simu amekumis wanawake kweli hawajui ku move on hasa yakiwakuta mazito huko walipo tarajia kupata fiedausi
Hilo haliwezekani.Msamehe tu jaman umkumbalie mungu hapendi[emoji12]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hao ndo Wanaacces kubwa na wasichana wote wa mtaa wanajua mambo yote mke hta umchunge vip atakuwa na mazoea na hao watu labda ufungie ndani kama wapemba wanavyofanya[emoji23][emoji23]
Nilikua "nice guy" saaana hilo sikataiAlpha fucks, beta bucks- Rollo tomassi in rational male, Ukielewa maana ya huo msemo, utaelewa kwanini Huyo demu alikukataa kipindi kile, na sahivi kakukubali Vocal Fremitus
Ndio hapo najiuliza kipi kimembadilisha mpaka anikubali kipindi hiki na sio wakati ule? Kama alikua na mpenzi si aendelee nae tu! Nimetafsiri kama amenidharau na kuniona mm ni option yake ya mwisho kwa vile ana mzigo wa kulea watoto sasaShida sio wewe kunikataa, kunikataa ni haki yako, ila kwanini leo Nikikutongoza unikatae, hlf mwaka kesho unishobokee kimapenzi eti unanitaka, nimebadilika nini? Huyo mdada Si angetafuta wanaume wengine tofauti na mtoa mada? Mrs Lissu
Nimemshtukia. Namkataa mazima!!!@Vocal Fremitus kakufata bhana na uku kwa njia nyingine[emoji28][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwaiyo mkuu muuza chips alikuzidi ujanja kweli?Tatizo hisia za kumla sina, kila nikifikiria namna alivyokua ananiletea mapozi na walivyokua wananivimbia na yule dogo muuza chips ndio nakatika stim
Anataka mfanye maisha na familia ya mtuNilijaribu kumtega kumuuliza kwann kipindi kile kabla hajapigwa mimba alinikataa. Akadai tu utoto hakua anajitambua na alikua anadanganywa na wenzake. Sasa hivi anataka nimpe second chance tufanye maisha.
Nakiri alinizidi ujanja aisee. Maana pisi ilikua inaniona kama takataka vile. Popote anaponiona alikua ananikimbia.