Alikuwa ananikwepa kabla hajazaa, sasa ana mapacha anataka nimuoe!

Vocal Fremitus mpotezee kama alivyokupotezea wewe enzi zile. Mchane laiv kuwa ulikuwa na mapenzi nae kipindi hajazaa.

Halafu mwambie huwa hauzini na wake ,a watu, mwiko kwako
 
Nakiri alinizidi ujanja aisee. Maana pisi ilikua inaniona kama takataka vile. Popote anaponiona alikua ananikimbia.
Kuna kabinti kamoja ka sekondari, nilikaonesha ishara ya kukatongoza, nako kalinikimbia, sijui hakanitaki, hahaa usikute na hako kademu chako kipindi hicho ulikafata alikuwa sekondari Vocal Fremitus
 
Duuuh, hawa viumbe huwa wanajuta sana Ukingoni
 
Wanawake labda huenda ni kwa kutokutufahamu sisi wanaume, Sisi hatupendi kuwa second option baada ya wao kufeli huko hasahasa kuzalishwa, ni kama dharau bora wake want move on mazima
 
Kamle tu ili uingie katika orodha yke
 
Namuonea huruma. Nimemuambia emashachelewa lakini anakomaa tu. hakati tamaa. Anapiga simu mara 20
Umekuwa wewe ndiye jalala Sasa baada ya kuwa amekosa usajili eapl league ndio anaona aje kwako ligi ya mchangani. Ila mademu bana hawawezagi kutenganisha white and black. Wakati akiwa hot akiwa anaitwa kila kona huwa anavimba mno kichwa ujue
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…