Alimwambia mume wake aoe yeye yuko busy.

Alimwambia mume wake aoe yeye yuko busy.

Leverage

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2021
Posts
2,125
Reaction score
3,150
Moja kwa moja kwenye mada.
Mkuu wa wilaya ya Bagamoyo kwa sasa kipindi akiwa mkuu wa wilaya ya Pangani alimwambia Mme wake aoe mke mwingine sababu yeye yuko busy na majukumu watu walimsifia sana na kumuona ni mwanamke anaejali.
Cha ajabu jana bungeni katambulishwa kama mke wa Waziri wa maji Jumaa Aweso.
Swali langu:
Kwa sasa majukumu yake yamepungua hadi akaolewa tena?
 
Moja kwa moja kwenye mada.
Mkuu wa wilaya ya Bagamoyo kwa sasa kipindi akiwa mkuu wa wilaya ya Pangani alimwambia Mme wake aoe mke mwingine sababu yeye yuko busy na majukumu watu walimsifia sana na kumuona ni mwanamke anaejali.
Cha ajabu jana bungeni katambulishwa kama mke wa Waziri wa maji Jumaa Aweso.
Swali langu:
Kwa sasa majukumu yake yamepungua hadi akaolewa tena?
Mwanamke mala….y
 
Moja kwa moja kwenye mada.
Mkuu wa wilaya ya Bagamoyo kwa sasa kipindi akiwa mkuu wa wilaya ya Pangani alimwambia Mme wake aoe mke mwingine sababu yeye yuko busy na majukumu watu walimsifia sana na kumuona ni mwanamke anaejali.
Cha ajabu jana bungeni katambulishwa kama mke wa Waziri wa maji Jumaa Aweso.
Swali langu:
Kwa sasa majukumu yake yamepungua hadi akaolewa tena?

Ni yupi mkuu yule mwembamba au yule mwenye nyama nyingi?
 
Mchumba wako akikwambia hana mpango wa kuolewa kwa sasa na anaogopa kukupotezea muda jiongeze kuwa kuna kidume cha hadhi zaidi yako mbele ya moyo wake.

Sasa kwa yule mme aliyeshauriwa kuoa ati mke ana majukumu mengi ya pilikapilika za serikali alitakiwa ajiongeze maili 1000 mbele kwa kumpiga talaka 3 na kuvuta jiko lingine maana hakuwa mke tena huyo.
 
Mchumba wako akikwambia hana mpango wa kuolewa kwa sasa na anaogopa kukupotezea muda jiongeze kuwa kuna kidume cha hadhi zaidi yako mbele ya moyo wake.

Sasa kwa yule mme aliyeshauriwa kuoa ati mke ana majukumu mengi ya pilikapilika za serikali alitakiwa ajiongeze maili 1000 mbele kwa kumpiga talaka 3 na kuvuta jiko lingine maana hakuwa mke tena huyo.
Aliona huyu mwandishi wa habari atanipa nini? Ngoja nimtupe kiaina
 
Back
Top Bottom