- Thread starter
- #21
KibongeNi yupi mkuu yule mwembamba au yule mwenye nyama nyingi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KibongeNi yupi mkuu yule mwembamba au yule mwenye nyama nyingi?
Aisee!BBC,AZAM,msemaji serikali ya Zanzibar. Jamaa alipanda panda vyeo fasta fasta
Kuna dogo mwingine alikuwa msemaji wa Ikulu kabla ya Charles.Aisee!
So, alikuwa mke wa chalz mwanzo?!
Umpige talaka ya nini, unamwolea tu mbebez matata halafu siku zinakuwa zinapitiliza tu kule kwa mke mdogo.......lazima akili zimsogee.Mchumba wako akikwambia hana mpango wa kuolewa kwa sasa na anaogopa kukupotezea muda jiongeze kuwa kuna kidume cha hadhi zaidi yako mbele ya moyo wake.
Sasa kwa yule mme aliyeshauriwa kuoa ati mke ana majukumu mengi ya pilikapilika za serikali alitakiwa ajiongeze maili 1000 mbele kwa kumpiga talaka 3 na kuvuta jiko lingine maana hakuwa mke tena huyo.
Connect dots.Mkuu wa wilaya ya Bagamoyo kwa sasa kipindi akiwa mkuu wa wilaya ya Pangani alimwambia Mme wake aoe mke mwingine sababu yeye yuko busy na majukumu watu walimsifia sana na kumuona ni mwanamke anaejali.
Cha ajabu jana bungeni katambulishwa kama mke wa Waziri wa maji Jumaa Aweso.
Swali langu:
Kwa sasa majukumu yake yamepungua hadi akaolewa tena?
ONLY IN TANZANIA, NA BADO YUPO MADARAKANI HAJAJIUZULU BADO!Moja kwa moja kwenye mada.
Mkuu wa wilaya ya Bagamoyo kwa sasa kipindi akiwa mkuu wa wilaya ya Pangani alimwambia Mme wake aoe mke mwingine sababu yeye yuko busy na majukumu watu walimsifia sana na kumuona ni mwanamke anaejali.
Cha ajabu jana bungeni katambulishwa kama mke wa Waziri wa maji Jumaa Aweso.
Swali langu:
Kwa sasa majukumu yake yamepungua hadi akaolewa tena?
Maushungi.Ni yupi mkuu yule mwembamba au yule mwenye nyama nyingi?
Ukiona manyoyaConnect dots.
- Alikuwa DC wa Pangani
- Ameolewa na Mbunge wa Pangani
Moja kwa moja kwenye mada.
Mkuu wa wilaya ya Bagamoyo kwa sasa kipindi akiwa mkuu wa wilaya ya Pangani alimwambia Mme wake aoe mke mwingine sababu yeye yuko busy na majukumu watu walimsifia sana na kumuona ni mwanamke anaejali.
Cha ajabu jana bungeni katambulishwa kama mke wa Waziri wa maji Jumaa Aweso.
Swali langu:
Kwa sasa majukumu yake yamepungua hadi akaolewa tena?
Huyo ni mmoja kati ya wengi wenye mienendo hiyo!!Ukiona manyoya
Kwaiyoo huoo uchafu ulishndwa kumalizan nae,?Moja kwa moja kwenye mada.
Mkuu wa wilaya ya Bagamoyo kwa sasa kipindi akiwa mkuu wa wilaya ya Pangani alimwambia Mme wake aoe mke mwingine sababu yeye yuko busy na majukumu watu walimsifia sana na kumuona ni mwanamke anaejali.
Cha ajabu jana bungeni katambulishwa kama mke wa Waziri wa maji Jumaa Aweso.
Swali langu:
Kwa sasa majukumu yake yamepungua hadi akaolewa tena?
😀, kwa hiyo hapo hotelini anakoishi anawalazaje wawili at a time🤣😂ONLY IN TANZANIA, NA BADO YUPO MADARAKANI HAJAJIUZULU BADO!
Hapana. Sii chalzAisee!
So, alikuwa mke wa chalz mwanzo?!
Usisahau wakati anasema yuko bize alikjwa DC wa Wilaya ambayo mmewe wa sasa alikuwa mbunge. teh! teh! teh! teh!Moja kwa moja kwenye mada.
Mkuu wa wilaya ya Bagamoyo kwa sasa kipindi akiwa mkuu wa wilaya ya Pangani alimwambia Mme wake aoe mke mwingine sababu yeye yuko busy na majukumu watu walimsifia sana na kumuona ni mwanamke anaejali.
Cha ajabu jana bungeni katambulishwa kama mke wa Waziri wa maji Jumaa Aweso.
Swali langu:
Kwa sasa majukumu yake yamepungua hadi akaolewa tena?
Charles?????BBC,AZAM,msemaji serikali ya Zanzibar. Jamaa alipanda panda vyeo fasta fasta
Alivyoonja penzi la Mbunge na Naibu Waziri kipindi hicho ikabidi amtose Mwandishi/ mtangazaji wa habari, wanawake si watu wazuri kabisaMoja kwa moja kwenye mada.
Mkuu wa wilaya ya Bagamoyo kwa sasa kipindi akiwa mkuu wa wilaya ya Pangani alimwambia Mme wake aoe mke mwingine sababu yeye yuko busy na majukumu watu walimsifia sana na kumuona ni mwanamke anaejali.
Cha ajabu jana bungeni katambulishwa kama mke wa Waziri wa maji Jumaa Aweso.
Swali langu:
Kwa sasa majukumu yake yamepungua hadi akaolewa tena?
Hapana msemaji wa ikulu ya Zanzibar aliyeondoka kabla ya Charles. Nasikia ameenda kusoma USCharles?????