Alimwambia mume wake aoe yeye yuko busy.

Alimwambia mume wake aoe yeye yuko busy.

Mchumba wako akikwambia hana mpango wa kuolewa kwa sasa na anaogopa kukupotezea muda jiongeze kuwa kuna kidume cha hadhi zaidi yako mbele ya moyo wake.

Sasa kwa yule mme aliyeshauriwa kuoa ati mke ana majukumu mengi ya pilikapilika za serikali alitakiwa ajiongeze maili 1000 mbele kwa kumpiga talaka 3 na kuvuta jiko lingine maana hakuwa mke tena huyo.
Umpige talaka ya nini, unamwolea tu mbebez matata halafu siku zinakuwa zinapitiliza tu kule kwa mke mdogo.......lazima akili zimsogee.
 
Mkuu wa wilaya ya Bagamoyo kwa sasa kipindi akiwa mkuu wa wilaya ya Pangani alimwambia Mme wake aoe mke mwingine sababu yeye yuko busy na majukumu watu walimsifia sana na kumuona ni mwanamke anaejali.
Cha ajabu jana bungeni katambulishwa kama mke wa Waziri wa maji Jumaa Aweso.
Swali langu:
Kwa sasa majukumu yake yamepungua hadi akaolewa tena?
Connect dots.
  1. Alikuwa DC wa Pangani
  2. Ameolewa na Mbunge wa Pangani
 
Moja kwa moja kwenye mada.
Mkuu wa wilaya ya Bagamoyo kwa sasa kipindi akiwa mkuu wa wilaya ya Pangani alimwambia Mme wake aoe mke mwingine sababu yeye yuko busy na majukumu watu walimsifia sana na kumuona ni mwanamke anaejali.
Cha ajabu jana bungeni katambulishwa kama mke wa Waziri wa maji Jumaa Aweso.
Swali langu:
Kwa sasa majukumu yake yamepungua hadi akaolewa tena?
ONLY IN TANZANIA, NA BADO YUPO MADARAKANI HAJAJIUZULU BADO!
 
Moja kwa moja kwenye mada.
Mkuu wa wilaya ya Bagamoyo kwa sasa kipindi akiwa mkuu wa wilaya ya Pangani alimwambia Mme wake aoe mke mwingine sababu yeye yuko busy na majukumu watu walimsifia sana na kumuona ni mwanamke anaejali.
Cha ajabu jana bungeni katambulishwa kama mke wa Waziri wa maji Jumaa Aweso.
Swali langu:
Kwa sasa majukumu yake yamepungua hadi akaolewa tena?

Mkuu sasa huoni kuwa alikuwa busy na Waziri?
 
Moja kwa moja kwenye mada.
Mkuu wa wilaya ya Bagamoyo kwa sasa kipindi akiwa mkuu wa wilaya ya Pangani alimwambia Mme wake aoe mke mwingine sababu yeye yuko busy na majukumu watu walimsifia sana na kumuona ni mwanamke anaejali.
Cha ajabu jana bungeni katambulishwa kama mke wa Waziri wa maji Jumaa Aweso.
Swali langu:
Kwa sasa majukumu yake yamepungua hadi akaolewa tena?
Kwaiyoo huoo uchafu ulishndwa kumalizan nae,?
 
Moja kwa moja kwenye mada.
Mkuu wa wilaya ya Bagamoyo kwa sasa kipindi akiwa mkuu wa wilaya ya Pangani alimwambia Mme wake aoe mke mwingine sababu yeye yuko busy na majukumu watu walimsifia sana na kumuona ni mwanamke anaejali.
Cha ajabu jana bungeni katambulishwa kama mke wa Waziri wa maji Jumaa Aweso.
Swali langu:
Kwa sasa majukumu yake yamepungua hadi akaolewa tena?
Usisahau wakati anasema yuko bize alikjwa DC wa Wilaya ambayo mmewe wa sasa alikuwa mbunge. teh! teh! teh! teh!
 
Moja kwa moja kwenye mada.
Mkuu wa wilaya ya Bagamoyo kwa sasa kipindi akiwa mkuu wa wilaya ya Pangani alimwambia Mme wake aoe mke mwingine sababu yeye yuko busy na majukumu watu walimsifia sana na kumuona ni mwanamke anaejali.
Cha ajabu jana bungeni katambulishwa kama mke wa Waziri wa maji Jumaa Aweso.
Swali langu:
Kwa sasa majukumu yake yamepungua hadi akaolewa tena?
Alivyoonja penzi la Mbunge na Naibu Waziri kipindi hicho ikabidi amtose Mwandishi/ mtangazaji wa habari, wanawake si watu wazuri kabisa
 
Back
Top Bottom