inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Hayo maneno yanasadifu Aya za quranNa mimi sijasema hayo maneno yako kwenye aya ya Qur'an tukufu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo maneno yanasadifu Aya za quranNa mimi sijasema hayo maneno yako kwenye aya ya Qur'an tukufu
Aisee wanawake si wakuwa guarantee kabisa. Aliona atumie njia ya kumruhusu mumewe aoe ili kusiwe na scandal kutokana na nafasi yake ya utumishi wa umma. What a trickAliona hiyo ndio njia nzuri ya kumtema jamaa kiaina..
Maushungi.
Yule' mnene T ndio mke mkubwa.
Huo ni mtazamo wako....biblia pia imeandika juu ya makatazo ya uzinzi, mabudha na wahndu pia...mpangilio wa maneno sio usikufanye uamini kile unachofikiria wewe na kuaminisha wengineHayo maneno yanasadifu Aya za quran
Huo ni mtazamo wako....biblia pia imeandika juu ya makatazo ya uzinzi, mabudha na wahndu pia...mpangilio wa maneno sio usikufanye uamini kile unachofikiria wewe na kuaminisha wengineHayo maneno yanasadifu Aya za quran
Cc cocasticHuyo hapo, aliolewa na Abdul Mohamed yule jamaa aliyekua General manager wa Azam Sports, pia alifanya kazi BBC, ITV na Clouds. Mwanzo alikua anatangaza habari za michezoView attachment 2222736View attachment 2222737View attachment 2222739
Ndani ya moyo wako ukweli upo dhahiriHuo ni mtazamo wako....biblia pia imeandika juu ya makatazo ya uzinzi, mabudha na wahndu pia...mpangilio wa maneno sio usikufanye uamini kile unachofikiria wewe na kuaminisha wengine
Ukinambia nioe mwingine kwa sababu nimeshajua janja yako unakula red card hapohapo suala la kuoa nitapanga baadaeZainab nimempenda bure, hii trick nishaichukua, huyu Jamaa akizingua namruhusu aoe halafu na mimi nasepa.....inapunguza lawama ndogo ndogo.
Aliolewa na Abdul Mohammed sio msemaji wa ikuluKuna dogo mwingine alikuwa msemaji wa Ikulu kabla ya Charles.