Aliniacha kwa fedheha, lakini leo anahitaji msaada wangu

noted
 
noted
 
mwambie akaombe msaada uko alikoona kwa maana mtu anaekukumbuka akiwa na shida na mshezi
 
Huo upuuzi, akasaidiwe na bitozi wake wa kigamboni[emoji28]!!!
Watoto wa kike mnashangazaga mno yani, umkatae mtu kwa zereuw kisha yakikushinda huko urudi unajiliza liza et usamehewe shabash[emoji28][emoji28][emoji28]
Kukataliwa ni kawaida kama haku feel, ila kutoa msaada mbona ni jambo jema la utu, ushinde ubaya kwa wema
 

mkuu kama hiyo aya yote ni neno moja basi nikusalim tuu kwa jina la jamhuri ya muungano wa tanzania

Sent from my M2101K7AI using JamiiForums mobile app
 
msaidie hiyo changamoto yake,
ILA MAMBO YA MAPENZI NAYE PAMOJA NA NDOA ACHANA NAYO.......

Tnda wema nenda zako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…