RoDrick RaY
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 1,189
- 1,690
Adumu muombee njaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AiseerAlikuwa demu wangu ila baada ya Mimi kupigika mtaani akaamua kunitamkia kuwa anataka tuachane maana amepata mshikaji mwingine. Na akanambia jamaa yake kanizidi kila kitu. Iliniumiza sana asee ila baada kama ya siku kadhaa demu akapata ajali ya gari. Kuna feeling nilipata ya majonzi ila pia niliona kama bora hata jamaa hajamfaidi.
Hiyo hali ndio inanitokea naona kama jamaa angefaidi yule mtotoKwahiyo hapo ulipo uso upande Mmoja unalia na upande mwingine unacheka ?
Hapana boss hiyo ni mapenzi ya MunguWe fala uliroga wewe..
Hahaha amekuwa Sabaya.Kwahiyo hapo ulipo uso upande Mmoja unalia na upande mwingine unacheka ?
Sabaya alimla Nandy kwa nguvuHahaha amekuwa Sabaya.
Ila nilimpenda kinomaKalipwa chap
Riwaya nzuri sanaaas......tunatega sikioooDah hii ishu ilinihuzunisha sana maana yule msichana nilimpenda sana ila ndio hivyo kazi ya mola Haina makosa.
Inaniuma sana ila naona Bora jamaa hakumfaidi.
Sasa hiyo ni biashara sio upendo tenaTafuta hela
Siku hizi kuna upendo ndugu yangu?Sasa hiyo ni biashara sio upendo tena
Unaweza kubahatishaSiku hizi kuna upendo ndugu yangu?
Umesema vyema hapo kwenye kubahatishaUnaweza kubahatisha
ulimuendea kigoma nini?Dah hii ishu ilinihuzunisha sana maana yule msichana nilimpenda sana ila ndio hivyo kazi ya mola Haina makosa.
Inaniuma sana ila naona Bora jamaa hakumfaidi.
Hapana mkuu. Ila hata hivyo kifo chake niliumia, bora angebaki nione mwisho wake, may be angenielewaulimuendea kigoma nini?
1. Niliumia kinoma1. Baada ya kupata taarifa ya kifo cha mpenziyo ilhali kakuacha, kipi cha kwanza kulikuijia kichwani mwako?
2. Hadi sasa unamkumbuka kwa lipi?
3. Na ni kipi ulijifunza baada ya tukio hilo kutokea?