Are you dating the woman or the PhD?
Both of that?Maybe he wants both of that!
Wadau,
Kuna msichana nimempata na aliniambia anayo PHD lakini nikimtumia sms kwa lugha ya kingereza hajibu na anaweza kumaliza hata saa moja ndio akapiga na kutaka tupige stori.
Wadau hapa kuna PHD kweli?
Hahahaaaa..."wachina" wao hata kingereza cha kusalimia tu hawajui lakini nadhani "phd" zao mnaziona kwenye nyanja nyingi tu mfano: secta ya ujenzi, mawasiliano nk.
Mkuu nimekumisi, upapo
Hivi wenye PhD wote lazima wajue kimombo? Hata mjapani Kanyamavi Kayashika??
Mi kuna kadem ka Wingereza kameishia nasare skul kananitesa kwa kimombo sijapata kuona
waif BADILI TABIA njoo kipande hii.... chapchap sana. tena njoo without kabisa...
Wadau,
Kuna msichana nimempata na aliniambia anayo PHD lakini nikimtumia sms kwa lugha ya kingereza hajibu na anaweza kumaliza hata saa moja ndio akapiga na kutaka tupige stori.
Wadau hapa kuna PHD kweli?
Maybe he wants both of that!
Wadau,
Kuna msichana nimempata na aliniambia anayo PHD lakini nikimtumia sms kwa lugha ya kingereza hajibu na anaweza kumaliza hata saa moja ndio akapiga na kutaka tupige stori.
Wadau hapa kuna PHD kweli?