Kama mazishi tu yanalipiwa itakuwa mtu anaepumua kwa raha zake jamani 😸😸😸Watu hamtoi sapoti burebure😆
God is watching you,.lol😂😂Kama mazishi tu yanalipiwa itakuwa mtu anaepumua kwa raha zake jamani 😸😸😸
Umeongea kifalsafa zaidiUngemwambia kuwa atazalia hospitali, kuzalia nyumbani sio salama sana.
Yani wanajisahau Sana mkuuHawa ni wanawake wanapenda maisha ya juu ndio wanakuwaga hivyo. Anataka upigike hawafahamu zile process zote zinatufanya wanaume masikini. Alikuepo anahitaji Ukapeleke mahali kwao, baada ya hao sendoff na harusi za Gharama kubwa. Wanawake wamesahau kuwa Zama zimebadilika
Inawezekana mkuu ila anachokiona haelewiKakuona pimbi wake ndio huyu sasa
Ndio maana nimetoa funzo kwa wanawake wengineMtu alitoa mimba yako alafu umsapoti..[emoji23][emoji23][emoji23]
Kabisa mkuu goli langu alitoa,halafu alivyofeli anaona Nina umuhimu sanaYataka moyo kuhudumia goli la mwanaume mwenzio ambaye hajafa
Nimekupata vizuri.... Hisani ya kimataifaKunatofauti kubwa kati ya hisani na wajibu...😎
Kabisa kabisaManeno magumu sana
Ngumu kumeza nisiitafune harakaNgumu kumeza.
Umenena vyema Sana ,wanasahau yanayokua yanatokeaHawa ni wanawake wanapenda maisha ya juu ndio wanakuwaga hivyo. Anataka upigike hawafahamu zile process zote zinatufanya wanaume masikini. Alikuepo anahitaji Ukapeleke mahali kwao, baada ya hao sendoff na harusi za Gharama kubwa. Wanawake wamesahau kuwa Zama zimebadilika
Suala la kumgegeda mkuu.?Jiongeze wewe kashakuambia jamaa ni mvivu alafu kakuomba uwe una msapoti humo kumsapoti sio kule unakofikiria wewe ebu jiongeze bhana
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu agiza bia mwambie nitampaMwambie amnyongelee mbali uyo mtoto mana wa kwanza si alifanya ivyo alafu akimaliza mfunge ndoa mambo ya kuzalia home sio powa apo vp braza kaka
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Vipi sasa utampa hiyo "sapoti"..?
Mapenzi ni mwiba hasa Kama ukikuchoma ,wakati wakutoa ni maumivuMsaidie kwa maana kuachana kwenu hakukuwa kwa dharau,matusi na kejeli..
Ila asirudishe majeshi tu