Mshamba hachekwiYeye ndo mshamba kurudia matapishi, huyo mcheke kabisa
huyu achekwe tu amezidiMshamba hachekwi
Kama week 3 hiviNi muda gan umepita toka akuchane we mshamba?
Kamwe kamwe siwezi kumsamehe mtu ambaye huna hisia nae unamtafuta Wa nini?Ameona mali imeharibika na imekosa soko ndiyo anakuletea wewe mshamba ununue kwa bei ya jumla na ukikubali tu atakuona kweli wewe mshamba.
Acha utoto sameheWakuu kwema
Hope mna weekend njema
Kuna mwanamke aliniacha kwa maneno makali sana ambayo yalichoma moyo wangu..
Aliniambia kuwa Mimi siendani naye, Mimi. Ni mshamba, na Hana hisia na Mimi. Nilimuambia tuu sawa nashukuru.
Leo hii anakuja Kunitafuta ananiomba msamaha anapiga sana simu Leo ni siku 5 hachoki kupiga simu na kutuma message eti alikosea zilikua ni hasira tuu
Wanawake wengine ni takataka kabisa.
Piga chini huyo mkuuWakuu kwema
Hope mna weekend njema
Kuna mwanamke aliniacha kwa maneno makali sana ambayo yalichoma moyo wangu..
Aliniambia kuwa Mimi siendani naye, Mimi. Ni mshamba, na Hana hisia na Mimi. Nilimuambia tuu sawa nashukuru.
Leo hii anakuja Kunitafuta ananiomba msamaha anapiga sana simu Leo ni siku 5 hachoki kupiga simu na kutuma message eti alikosea zilikua ni hasira tuu
Wanawake wengine ni takataka kabisa.
Kama ni week 3 tuu inaweza kuwa hasira kweli.Kama week 3 hivi
Iitakuwa keshakutana na wana wanywe bia huko wakamnyooshaSoko lake limeisha anataka weww boya/pang'ang'a akushikishe mali feki
Hili ni bomu la nyukliaKama unampenda mrudie
Manyanza ushauri mzuri mkuu.Mwanamume haringiwi mpotezee hata usijibu jumbe zake wala usipokee simu zake kabisa. Ikiwezekana mpige block kabisa