Mwananchi B
JF-Expert Member
- May 23, 2013
- 1,885
- 4,131
Ila Mkuu makubaliano si yalikuwa kwamba mshamba_hachekwiYeye ndo mshamba kurudia matapishi, huyo mcheke kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila Mkuu makubaliano si yalikuwa kwamba mshamba_hachekwiYeye ndo mshamba kurudia matapishi, huyo mcheke kabisa
Mwambie umeshapata tulizo la moyo wako akukome kama alivyokoma ziwa la mama yake, usile matapishi yako!Wakuu kwema, hope mna weekend njema.
Kuna mwanamke aliniacha kwa maneno makali sana ambayo yalichoma moyo wangu. Aliniambia kuwa mimi siendani naye, mimi ni mshamba, na hana hisia na mimi. Nilimwambia tu sawa nashukuru.
Leo hii anakuja kunitafuta ananiomba msamaha, anapiga sana simu leo ni siku 5 hachoki kupiga simu na kutuma message eti alikosea zilikua ni hasira tuu.
Wanawake wengine ni takataka kabisa!
Sea Beast mkuu kwanini mwanamke aliyekuzingua ukiwa una mjibu alafu kuna siku unamkaushia aaumia kisaikolojia wakati naona ukim-block kabisa au ukimlia buyu ndio itamuuma?Hii ni njia ya kijinga kwanini ujisemeshe, huyo ni kutojibu sms wala kupoke simu na mara mojamoja unajibu akituma 'mambo' unajibu 'poa' then hujibu tena....anaumia kisaikolojia.
Nimesema unamkaishia na siku unamjibu mara moja na sio unamjibu na siku unamkaushia.Sea Beast mkuu kwanini mwanamke aliyekuzingua ukiwa una mjibu alafu kuna siku unamkaushia aaumia kisaikolojia wakati naona ukim-block kabisa au ukimlia buyu ndio itamuuma?
Nimesema unamkaishia na siku unamjibu mara moja na sio unamjibu na siku unamkaushia.Nimesema unamkaishia na siku unamjibu mara moja na sio unamjibu na siku unamkaushia.
Mwanamke anaumia akikosa ATTENTION hasa alipokuwa anapata kwa mtu kama wewe sio Block hapo umemuwekea ukita jumlajumla haumii Ana recover fast fast.
Mpokee awe mchepuko wa kudumu,yaani muweke kundi la ambalo huna malengo naye,pima afya kwanza.Wakuu kwema, hope mna weekend njema.
Kuna mwanamke aliniacha kwa maneno makali sana ambayo yalichoma moyo wangu. Aliniambia kuwa mimi siendani naye, mimi ni mshamba, na hana hisia na mimi. Nilimwambia tu sawa nashukuru.
Leo hii anakuja kunitafuta ananiomba msamaha, anapiga sana simu leo ni siku 5 hachoki kupiga simu na kutuma message eti alikosea zilikua ni hasira tuu.
Wanawake wengine ni takataka kabisa!
Kosa ambalo mwanaume hatakiwi kulifanya ni kumrudia mwanamke aliyemuacha! Ukimrudia utajuta maisha yako yote kwani atakuacha tena! Huyo ni wa kumkimbia kabisa …tena mwambie aache kuwa mjinga mjinga maana wewe sio mjinga mwenzie! Najua bado wampenda ila jikaze!Wakuu kwema, hope mna weekend njema.
Kuna mwanamke aliniacha kwa maneno makali sana ambayo yalichoma moyo wangu. Aliniambia kuwa mimi siendani naye, mimi ni mshamba, na hana hisia na mimi. Nilimwambia tu sawa nashukuru.
Leo hii anakuja kunitafuta ananiomba msamaha, anapiga sana simu leo ni siku 5 hachoki kupiga simu na kutuma message eti alikosea zilikua ni hasira tuu.
Wanawake wengine ni takataka kabisa!
I dont knowou🙈Sasa hili nalo ni la kuandikia uzi...?
Hao wengi hawana akili kabisa ni matako na K ndizo huteseka na miguu huteseka kwa kubeba kichwa kitupu usithubutu kurudia hiyo ng’ombeAh ha ha [emoji23] upo sahihi