Aliniambia siendani naye na mimi ni mshamba, sasa hivi hachoki kupiga simu kuomba msamaha!

Aliniambia siendani naye na mimi ni mshamba, sasa hivi hachoki kupiga simu kuomba msamaha!

Wakuu kwema

Hope mna weekend njema

Kuna mwanamke aliniacha kwa maneno makali sana ambayo yalichoma moyo wangu..
Aliniambia kuwa Mimi siendani naye, Mimi. Ni mshamba, na Hana hisia na Mimi. Nilimuambia tuu sawa nashukuru.


Leo hii anakuja Kunitafuta ananiomba msamaha anapiga sana simu Leo ni siku 5 hachoki kupiga simu na kutuma message eti alikosea zilikua ni hasira tuu

Wanawake wengine ni takataka kabisa.
Pengine kipindi anakuacha ulikuwa mshamba. Kosa lake hapo sio kukuita mshamba, bali ni kushindwa kukuvumilia mpaka ujanjaluke.

Sasa hivi anarudi kwavile ushamba umekuisha.
 
Wakuu kwema, hope mna weekend njema.

Kuna mwanamke aliniacha kwa maneno makali sana ambayo yalichoma moyo wangu. Aliniambia kuwa mimi siendani naye, mimi ni mshamba, na hana hisia na mimi. Nilimwambia tu sawa nashukuru.

Leo hii anakuja kunitafuta ananiomba msamaha, anapiga sana simu leo ni siku 5 hachoki kupiga simu na kutuma message eti alikosea zilikua ni hasira tuu.

Wanawake wengine ni takataka kabisa!
Ni mweupe?
Ana tako kubwa?
 
Wakuu kwema, hope mna weekend njema.

Kuna mwanamke aliniacha kwa maneno makali sana ambayo yalichoma moyo wangu. Aliniambia kuwa mimi siendani naye, mimi ni mshamba, na hana hisia na mimi. Nilimwambia tu sawa nashukuru.

Leo hii anakuja kunitafuta ananiomba msamaha, anapiga sana simu leo ni siku 5 hachoki kupiga simu na kutuma message eti alikosea zilikua ni hasira tuu.

Wanawake wengine ni takataka kabisa!
 
Wakuu kwema, hope mna weekend njema.

Kuna mwanamke aliniacha kwa maneno makali sana ambayo yalichoma moyo wangu. Aliniambia kuwa mimi siendani naye, mimi ni mshamba, na hana hisia na mimi. Nilimwambia tu sawa nashukuru.

Leo hii anakuja kunitafuta ananiomba msamaha, anapiga sana simu leo ni siku 5 hachoki kupiga simu na kutuma message eti alikosea zilikua ni hasira tuu.

Wanawake wengine ni takataka kabisa!
Msamehe halafu uendelee na maisha yako ya "kishamba" muheshimiwa.
 
Mwanamume haringiwi mpotezee hata usijibu jumbe zake wala usipokee simu zake kabisa. Ikiwezekana mpige block kabisa
Wewe ni mjinga mwenzangu, acha ampime afya, amle ndipo ampotezee.

Akimtafuta amwambie amepata anayeendana naye
 
Wanawake Wana Hasira tu mwamba amrudie bibie wajenge familia
 
Alipoharibu na ambacho ni cha kweli ni kumwambia hana hisia naye.

Mwanamke akikwambia hana hisia nawe ujue huo ndiyo ukweli.
Nakubali, kuwa makini sana na maneno anayotamka mwanamke, haijalishi yuko serious, ana furaha au huzun au anatania. Huwa wanaongea ukwel 😂😂
 
Mpaka umemuanzishia uzi maana yake hata wewe bado unamuwaza.
 
Back
Top Bottom