Ila maneno yana nguvu sana.
Mimi nilishamuomba mwanamke namba ya simu akaniambia yeye ni mke wa mtu, baada ya kumpotezea siku moja aliponiona akaanza kulia kisha sina time nae wakati aliniambia ameolewa.
Mwingine aliniambia lazima nimuoe baada ya muda mfupi lasivyo tutaachana na atapata mume wa kumuoa ndani ya mwaka huo. Nikaamua kuachana nae, baada ya miezi michache ya kuachana bado aka endelea mawasiliano na kulilia turudiane ila nikakataa kata kata kurudiana nae.
Mwingine baada ya kumtongoza akaniambia ana boyfriend nikasepa zangu, chakushangaza tukionana akawa anataka tena mazoea, hata hivyo bado nikawa sinamshobokei tena.
Hawa viumbe wana mambo ya ajabu. Dawa ni kuwa mwanaume mwenye msimamo.
Mimi nilishamuomba mwanamke namba ya simu akaniambia yeye ni mke wa mtu, baada ya kumpotezea siku moja aliponiona akaanza kulia kisha sina time nae wakati aliniambia ameolewa.
Mwingine aliniambia lazima nimuoe baada ya muda mfupi lasivyo tutaachana na atapata mume wa kumuoa ndani ya mwaka huo. Nikaamua kuachana nae, baada ya miezi michache ya kuachana bado aka endelea mawasiliano na kulilia turudiane ila nikakataa kata kata kurudiana nae.
Mwingine baada ya kumtongoza akaniambia ana boyfriend nikasepa zangu, chakushangaza tukionana akawa anataka tena mazoea, hata hivyo bado nikawa sinamshobokei tena.
Hawa viumbe wana mambo ya ajabu. Dawa ni kuwa mwanaume mwenye msimamo.