Aliniambia siendani naye na mimi ni mshamba, sasa hivi hachoki kupiga simu kuomba msamaha!

Aliniambia siendani naye na mimi ni mshamba, sasa hivi hachoki kupiga simu kuomba msamaha!

Tuacheni utani wazee, huko ground mambo magumu kwelikweli. Unakuta familia ina mabinti watatu wote wana umri wa kuolewa na shule wameenda ila ni singo maza wote hamna aliechukuliwa kihalali ndani. Naona hii generation mambo yamekua tofauti sana na zama za wazee wetuu
 
Tuacheni utani wazee, huko ground mambo magumu kwelikweli. Unakuta familia ina mabinti watatu wote wana umri wa kuolewa na shule wameenda ila ni singo maza wote hamna aliechukuliwa kihalali ndani. Naona hii generation mambo yamekua tofauti sana na zama za wazee wetuu
tatizo hawa wenye degree zao wanamuheshimu boss kuliko mume au ndio hivyo tena wanajidai wana degree. ni kuwabebesha mimba tuu na kuwaacha walee na mama zao
 
Wakuu kwema, hope mna weekend njema.

Kuna mwanamke aliniacha kwa maneno makali sana ambayo yalichoma moyo wangu. Aliniambia kuwa mimi siendani naye, mimi ni mshamba, na hana hisia na mimi. Nilimwambia tu sawa nashukuru.

Leo hii anakuja kunitafuta ananiomba msamaha, anapiga sana simu leo ni siku 5 hachoki kupiga simu na kutuma message eti alikosea zilikua ni hasira tuu.

Wanawake wengine ni takataka kabisa!
Kweli ulikuwa mshamba
maji ya mjini yamekutakatisha ndo maana anakuitaji kwakuwa si mshamba tena
 
tatizo hawa wenye degree zao wanamuheshimu boss kuliko mume au ndio hivyo tena wanajidai wana degree. ni kuwabebesha mimba tuu na kuwaacha walee na mama zao
NA divorces imekua kitu ya kawaida tu
 
Wakuu kwema, hope mna weekend njema.

Kuna mwanamke aliniacha kwa maneno makali sana ambayo yalichoma moyo wangu. Aliniambia kuwa mimi siendani naye, mimi ni mshamba, na hana hisia na mimi. Nilimwambia tu sawa nashukuru.

Leo hii anakuja kunitafuta ananiomba msamaha, anapiga sana simu leo ni siku 5 hachoki kupiga simu na kutuma message eti alikosea zilikua ni hasira tuu.

Wanawake wengine ni takataka kabisa!
Pendekeza maamuzi yako tuyawekee saruji ama udongo
 
Wakuu kwema, hope mna weekend njema.

Kuna mwanamke aliniacha kwa maneno makali sana ambayo yalichoma moyo wangu. Aliniambia kuwa mimi siendani naye, mimi ni mshamba, na hana hisia na mimi. Nilimwambia tu sawa nashukuru.

Leo hii anakuja kunitafuta ananiomba msamaha, anapiga sana simu leo ni siku 5 hachoki kupiga simu na kutuma message eti alikosea zilikua ni hasira tuu.

Wanawake wengine ni takataka kabisa!
Msamehe. Kuna muda hatujui thamani ya tulivyonavyo hadi tuvipoteze.
 
Sii wanajua watagawana vya kwako. Wahuni tuu hawa....bora kuoa std 7 failure tuu. Unambuluza utakavyo
Wa hivi angalau awe na akili za maisha kdogo angalau bila hvo utapgwa kote kote yani
 
Back
Top Bottom