Curtiz
JF-Expert Member
- Oct 1, 2021
- 948
- 1,911
Tuacheni utani wazee, huko ground mambo magumu kwelikweli. Unakuta familia ina mabinti watatu wote wana umri wa kuolewa na shule wameenda ila ni singo maza wote hamna aliechukuliwa kihalali ndani. Naona hii generation mambo yamekua tofauti sana na zama za wazee wetuu