Pengine kipindi anakuacha ulikuwa mshamba. Kosa lake hapo sio kukuita mshamba, bali ni kushindwa kukuvumilia mpaka ujanjaluke.Wakuu kwema
Hope mna weekend njema
Kuna mwanamke aliniacha kwa maneno makali sana ambayo yalichoma moyo wangu..
Aliniambia kuwa Mimi siendani naye, Mimi. Ni mshamba, na Hana hisia na Mimi. Nilimuambia tuu sawa nashukuru.
Leo hii anakuja Kunitafuta ananiomba msamaha anapiga sana simu Leo ni siku 5 hachoki kupiga simu na kutuma message eti alikosea zilikua ni hasira tuu
Wanawake wengine ni takataka kabisa.
[emoji51][emoji51]Ni muda gan umepita toka akuchane we mshamba?
Ni mweupe?Wakuu kwema, hope mna weekend njema.
Kuna mwanamke aliniacha kwa maneno makali sana ambayo yalichoma moyo wangu. Aliniambia kuwa mimi siendani naye, mimi ni mshamba, na hana hisia na mimi. Nilimwambia tu sawa nashukuru.
Leo hii anakuja kunitafuta ananiomba msamaha, anapiga sana simu leo ni siku 5 hachoki kupiga simu na kutuma message eti alikosea zilikua ni hasira tuu.
Wanawake wengine ni takataka kabisa!
Itakua sasa hivi unaendana nae. Pokea simu acha hasira mkuu
Wakuu kwema, hope mna weekend njema.
Kuna mwanamke aliniacha kwa maneno makali sana ambayo yalichoma moyo wangu. Aliniambia kuwa mimi siendani naye, mimi ni mshamba, na hana hisia na mimi. Nilimwambia tu sawa nashukuru.
Leo hii anakuja kunitafuta ananiomba msamaha, anapiga sana simu leo ni siku 5 hachoki kupiga simu na kutuma message eti alikosea zilikua ni hasira tuu.
Wanawake wengine ni takataka kabisa!
Msamehe halafu uendelee na maisha yako ya "kishamba" muheshimiwa.Wakuu kwema, hope mna weekend njema.
Kuna mwanamke aliniacha kwa maneno makali sana ambayo yalichoma moyo wangu. Aliniambia kuwa mimi siendani naye, mimi ni mshamba, na hana hisia na mimi. Nilimwambia tu sawa nashukuru.
Leo hii anakuja kunitafuta ananiomba msamaha, anapiga sana simu leo ni siku 5 hachoki kupiga simu na kutuma message eti alikosea zilikua ni hasira tuu.
Wanawake wengine ni takataka kabisa!
Wewe ni mjinga mwenzangu, acha ampime afya, amle ndipo ampotezee.Mwanamume haringiwi mpotezee hata usijibu jumbe zake wala usipokee simu zake kabisa. Ikiwezekana mpige block kabisa
Ingawa wanawake huwa wana kauli ambazo haziendani na wanachomaanisha mara nyingi.Inahitaji kutumia akili.Bidhaa imeshuka bei
NAKAZIAWanawake wengine ni takataka kabisa!
Sindio ushamba wenyeweSasa hili nalo ni la kuandikia uzi...?
Alipoharibu na ambacho ni cha kweli ni kumwambia hana hisia naye.Kama ni week 3 tuu inaweza kuwa hasira kweli.
NB
ila usijidanganye ukamrudia, UTAJUTA
Nakubali, kuwa makini sana na maneno anayotamka mwanamke, haijalishi yuko serious, ana furaha au huzun au anatania. Huwa wanaongea ukwel 😂😂Alipoharibu na ambacho ni cha kweli ni kumwambia hana hisia naye.
Mwanamke akikwambia hana hisia nawe ujue huo ndiyo ukweli.