NaamSoko lake limeisha anataka weww boya/pang'ang'a akushikishe mali feki
tatizo hawa wenye degree zao wanamuheshimu boss kuliko mume au ndio hivyo tena wanajidai wana degree. ni kuwabebesha mimba tuu na kuwaacha walee na mama zaoTuacheni utani wazee, huko ground mambo magumu kwelikweli. Unakuta familia ina mabinti watatu wote wana umri wa kuolewa na shule wameenda ila ni singo maza wote hamna aliechukuliwa kihalali ndani. Naona hii generation mambo yamekua tofauti sana na zama za wazee wetuu
Ashakitembeza kwa wajanja, washakitumia sasa wamemuacha, ameona akuletee wewe tertiary consumer.Kama week 3 hivi
Kweli ulikuwa mshambaWakuu kwema, hope mna weekend njema.
Kuna mwanamke aliniacha kwa maneno makali sana ambayo yalichoma moyo wangu. Aliniambia kuwa mimi siendani naye, mimi ni mshamba, na hana hisia na mimi. Nilimwambia tu sawa nashukuru.
Leo hii anakuja kunitafuta ananiomba msamaha, anapiga sana simu leo ni siku 5 hachoki kupiga simu na kutuma message eti alikosea zilikua ni hasira tuu.
Wanawake wengine ni takataka kabisa!
NA divorces imekua kitu ya kawaida tutatizo hawa wenye degree zao wanamuheshimu boss kuliko mume au ndio hivyo tena wanajidai wana degree. ni kuwabebesha mimba tuu na kuwaacha walee na mama zao
Pendekeza maamuzi yako tuyawekee saruji ama udongoWakuu kwema, hope mna weekend njema.
Kuna mwanamke aliniacha kwa maneno makali sana ambayo yalichoma moyo wangu. Aliniambia kuwa mimi siendani naye, mimi ni mshamba, na hana hisia na mimi. Nilimwambia tu sawa nashukuru.
Leo hii anakuja kunitafuta ananiomba msamaha, anapiga sana simu leo ni siku 5 hachoki kupiga simu na kutuma message eti alikosea zilikua ni hasira tuu.
Wanawake wengine ni takataka kabisa!
Sii wanajua watagawana vya kwako. Wahuni tuu hawa....bora kuoa std 7 failure tuu. Unambuluza utakavyoNA divorces imekua kitu ya kawaida tu
Msamehe. Kuna muda hatujui thamani ya tulivyonavyo hadi tuvipoteze.Wakuu kwema, hope mna weekend njema.
Kuna mwanamke aliniacha kwa maneno makali sana ambayo yalichoma moyo wangu. Aliniambia kuwa mimi siendani naye, mimi ni mshamba, na hana hisia na mimi. Nilimwambia tu sawa nashukuru.
Leo hii anakuja kunitafuta ananiomba msamaha, anapiga sana simu leo ni siku 5 hachoki kupiga simu na kutuma message eti alikosea zilikua ni hasira tuu.
Wanawake wengine ni takataka kabisa!
Wa hivi angalau awe na akili za maisha kdogo angalau bila hvo utapgwa kote kote yaniSii wanajua watagawana vya kwako. Wahuni tuu hawa....bora kuoa std 7 failure tuu. Unambuluza utakavyo