Alinichoma nikafumaniwa na Mwanamke wangu, nimelipiza kisasi kikamilifu

Hio uliompiga huyo kizabizabina wa Kiiraki ndio ile inaitwa "MWANA UKOME".

Kama ushawahi kucheza video game ya Mortal Kombat, kipengele cha Mwisho baada ya kumshinda mpinzani wako kuna kipengele kinaitwa "FATALITY" hapo unamsambaratisha pande nne zote za dunia😂.
 
ukishakuwa kijijini nani atakuona huko? kumbuka hamna boom la kununua vipodozi, usichukulie poa.

unaongelea msamaha kwa mwanaume aliyekufumania? hamna mwanaume mwenye moyo wa namna hiyo labda uwe umemuendea kwa mganga
We nawe km aliweza kumpata huyo vipi ishindikane kwa mwengine? 😹

Sasa unafikiri hao wanaume wanatoa tu maduka bila kuwaroga 🤣
Huyo atarudiana naye trust me 😹
 
Unafaa kuwa askari
 
We nawe km aliweza kumpata huyo vipi ishindikane kwa mwengine? 😹

Sasa unafikiri hao wanaume wanatoa tu maduka bila kuwaroga 🤣
Huyo atarudiana naye trust me 😹
Alimpata kigamboni baada ya kumaliza chuo, sasa amerudi mbwinde kule ambako wanachuo wanaogopwa, tofautisha mazingira, mazingira ndio yalimuwezesha kupata huyo mwarabu pamoja kujiweka sawa maana boom lilimsaidia kupata viwalo, anaenda kijijini hana ajira ujue akipata mafuta ya nazi ya kupata anamshukuru Mungu, lazima apauke na hapo inategemeana na kijiji, vijiji vingine hata maji ni ya shida hata kuoga, wanaoga kwa bajeti, atawapata wachunga ng'ombe huko
 
Kwahiyo wewe unamuamini huyo mmbea kwamba huyo demu alirudi mbwinde? 😹😹
Ticket alimkatia yeye?

Huyo manzi yupo town hapa hapa, sio rahisi kurudi mbwinde wala msijifariji 🤣
 
Kwahiyo wewe unamuamini huyo mmbea kwamba huyo demu alirudi mbwinde? 😹😹
Ticket alimkatia yeye?

Huyo manzi yupo town hapa hapa, sio rahisi kurudi mbwinde wala msijifariji 🤣
Mmbea ana haki ya kuaminiwa maana ametufanya tulijadili hili kwa kina
 
Ukisikia wanaume kama mabinti ndo huyu sasa, mad*faka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…