Alinichoma nikafumaniwa na Mwanamke wangu, nimelipiza kisasi kikamilifu

Alinichoma nikafumaniwa na Mwanamke wangu, nimelipiza kisasi kikamilifu

Mimi naona umefanya jambo sahihi kabisa kwa kuwa huyo mwanamke hujamzushia ni kweli kaingiza mwanaume ndani......

Hao wanaosema hayakuhusu achana nao na ndio hao hao wanaleta nyuzi humu kulalamikia wanawake zao.....

Kumhudumia mwanamke ni jambo kubwa sana linalotaka heshima.....kumleta mwanaume sehemu unayolala na mwanaume wako ni dharau za kiwango kikubwa

Hata kama unaonekana mbeya haina shida lakini umemuokoa mwanaume mwenzio kwenye dhahama..........

Kama na yeye alidiriki kufanya yasiyo mhusu ili kukuharibia basi na wewe umefanya jambo la maana......

Yeye katumia umalaya wako kukuachanisha na mpenzi wako na wewe ukatumia umalaya wake kumuachanisha......
Kabisa
 
Wakuu anachosema huyu jamaa ni kweli. Mimi ndo yule mlinzi niliyempeleka nyumbani kwa mwarabu akanikatia ganji ya 30 japo yeye kaenda kuingiza zaidi ya 200k.
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hio uliompiga huyo kizabizabina wa Kiiraki ndio ile inaitwa "MWANA UKOME".

Kama ushawahi kucheza video game ya Mortal Kombat, kipengele cha Mwisho baada ya kumshinda mpinzani wako kuna kipengele kinaitwa "FATALITY" hapo unamsambaratisha pande nne zote za dunia[emoji23].
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatari na nusu
 
Alimpata kigamboni baada ya kumaliza chuo, sasa amerudi mbwinde kule ambako wanachuo wanaogopwa, tofautisha mazingira, mazingira ndio yalimuwezesha kupata huyo mwarabu pamoja kujiweka sawa maana boom lilimsaidia kupata viwalo, anaenda kijijini hana ajira ujue akipata mafuta ya nazi ya kupata anamshukuru Mungu, lazima apauke na hapo inategemeana na kijiji, vijiji vingine hata maji ni ya shida hata kuoga, wanaoga kwa bajeti, atawapata wachunga ng'ombe huko
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mfano kesho aka samehewa akarudi hapo hapo na mwarabu aka mwambia kila kitu atakuchukuliaje? Kumbuka yule akikutana na mwarabu wanaongea uchi bhna na wakiwa katika hali iyo kuna nguvu sana
 
Kwahiyo bora kutetea mchepuko kuliko mpenzi wako,. Hii naona haijakaa sawa, Hiyo siku nitamkata nyegere zake haki ya nani🤒🤒
Hapo lengo sio kuonesha nani ni bora zaidi na anafaaa kutetewa, nachomaanisha ni namna ya kumtetea huyo mdada asidhurike Wala kuumizwa Kwa namna yeyote!
 
Hapo lengo sio kuonesha nani ni bora zaidi na anafaaa kutetewa, nachomaanisha ni namna ya kumtetea huyo mdada asidhurike Wala kuumizwa Kwa namna yeyote!
Duuh,. Means mpaka umeleta mwanamke mwingine ndani umuhofii mpenzi wako ( shortly humpendi )
Muendage tu Lodge huko mkuu wengine tuna hasira za mizimu ya mababu mtakuja mfe😂😂
 
Back
Top Bottom