Alinichoma nikafumaniwa na Mwanamke wangu, nimelipiza kisasi kikamilifu

Kodi 350k kwa mwezi
Mtaji wa Biashara Mil 30
Halafu HANA CHA KUPOTEZA??
😳😳😳😳

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
Kikubwa huyo mwanamke na yeye kachongewa, mambo ya kusema una umia au huumii hiyo utajua mwenyewe.

Kama ulivyosema Ubaya Ubwela tuishie hapo.
 
BAsi tu tuseme wote hatujui tunataka nini,. Wanaume kwa wanawake
 
Maana,
HALISI YA UBAYA UBWELA 🏃🏃🏃🏃
 
Duh! Una muda wa kuchezea...
 
Balaaa
 
We mkinga tumia akili kuna msemo unasema ombea bahati sio uzuri

Kupata danga la chap chap la kukupa biashara ya mtaji 30M sio rahisi kama unavyofikiria
 
Safi sana umemueza, sasa kazi iliobaki hapo ni kumpelekea moto umalize kisasi chako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…