Amehlo
JF-Expert Member
- May 8, 2019
- 10,104
- 29,178
Ya 4 ndo muhimu zaidiKuna mambo 4 Kama mwanaume unapaswa kuyajua
1.Wanaume tunatamani Kwanza
2. Wanawake wanapenda baadae
3. Ukizidisha attention,unazd kumkosa,
4. Akishakupenda, usipompa attention anachanganyikiwa