Ya 4 ndo muhimu zaidiKuna mambo 4 Kama mwanaume unapaswa kuyajua
1.Wanaume tunatamani Kwanza
2. Wanawake wanapenda baadae
3. Ukizidisha attention,unazd kumkosa,
4. Akishakupenda, usipompa attention anachanganyikiwa
😅😅😅😅😅Interesting...
How old are you?..
Kama hupendi kuongopewa na wanawake..utaweza ndoa kweli?
Wanawake na uongo ni samaki na maji...
Nishamwambia kuwa yeye ni mpumbavuInteresting...
How old are you?..
Kama hupendi kuongopewa na wanawake..utaweza ndoa kweli?
Wanawake na uongo ni samaki na maji...
kamaindi kitu kidogo sanaWatoto wa mboga sana bwana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuchomeshwa mahindi kawaida sana kwa mwanaume, wewe una element za ukike.
I hope iliwahi kukukuta[emoji4]Ya 4 ndo muhimu zaidi
Jamaa bado kabisa huyu kwenye hizo anga..kamaindi kitu kidogo sana
Dada ako me nunda 😅😅yaani sijaliii wala niniI hope iliwahi kukukuta[emoji4]
Tabia za kususa ni za kike mkuu, huyu jamaa sijui vipi aseeJamaa bado kabisa huyu kwenye hizo anga..
Enzi zetu unazungushwa mwaka mzima na mwamba unakomaa mpaka unafanikisha.
Sasa yeye kupigwa katukio kadoooogoo tuu anakasirika na kususa mazima?[emoji1787][emoji1787]
Sahii kabisa,Huyo dada hajakupenda anacheza na akili yako tu. All the best na wewe ukawe MCHEZAJI mzuri
Ununda huja baada ya kua sugu wa maumivuDada ako me nunda [emoji28][emoji28]yaani sijaliii wala nini
Ila naelewa tu how it feels
Hamna vingine ni kujiendekeza na kuwa na expectations kuubwaUnunda huja baada ya kua sugu wa maumivu
Hamnaga baunsa wa psychological torture za mapenz[emoji4]
Mtoa mada hakumpenda mdada,Nashukuru Sana kwa mwanaume nilienae mwanaume akikupenda anakupenda tu kama hakupendi atawekwa vikwazo
Ehee mi sipendi wanaume walio complicated kitu kidogo tu wamesusa napenda mwanaume easy goingMtoa mada hakumpensa mdada,
Alikua na nyege zake TU asuuze rungu.