Alinifanyia kiburi nikamuonyesha ujeuri. The rest is history

Mwenyezi Mungu akujalie partner sahihi utakapoamua kutulia

Maana watu Kama wewe hamchelewagi kufanya maamuzi machungu kwa wengine
Watu wa hivi huwa hawachelewi kujinyonga wakikasirika😅😅 (joking)
 
Dah mzee inaonekana ulimind sana kunyimwa nyapu siku ya kwanza, sema usimind mzee ndo hivo nyapu hupatkanaga kwa tabu
 
Bro huoni hata aibu kusimulia hicho ulichofanya.Aisee..
 
Hongera sana and thats the spirit !
 
Deepond umechambua kitaalamu na hiyo ndiyo ukweli
 
"muda tuliopanga 18:00Am ukapita bila hata yeye kutoke na simu"

Alikuvuruga Sana mkuu, pole sana!
 
Hahahaaa utakua mzee wa kumind mind vitu vidogo
Wanawake saa ingine wanakera kwa kweli, kuna mmoja tulikubaliana tukutane sehemu fulani, halafu hakuja, nlimfata hadi kwao nikamwambia niko nje kwao, alikuwa ndani, hakuja Nje hata kunipokea, akaniambia amepata safari sehemu ingine, nilikasirika nlimpotezea hadi leo nilimwambia tangu siku ile, mazoea mimi na yeye yaishe Kalpana DeepPond
 
Manzi nafanya naye kazi ofisi Moja vitengo tofauti. Alinielewa mwenyewe.

Nimempita Umri like 4 years. Akajidai kunipa complimentary kibao...oo sijui nini nani nikajaa.

Mitoko ya hapa na Pale Pina oil Kwa Sana. Kutoa nyapu hatoi nikaona haya sio mambo nikasambaa Kwa wengine. Siku hizi nyapu nje nje ya nini kuleteana tamthilia
 
Ukasusaaa 😆😆
 
Kuna wanawake wana dharau, halafu kwenye circle yake kuna wanaume wenye sifa kama zako 20 wanamfukuzia, siwashauri vijana kuwa jeuri ku win mwanamke.. nashauri watafute pesa..
I'm so Egoistic siwezi kubembeleza mambo yasiyowezekana. Halafu Hua siruhusu mwanamke ajione yeye ndio kila kitu kwangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…