Alinifanyia kiburi nikamuonyesha ujeuri. The rest is history

Alinifanyia kiburi nikamuonyesha ujeuri. The rest is history

Heshima kwako. Haswaa wanawake wa leo. Unamwambia wakat exposure anayo ameipata from ur fellow high level men. Tatiz la men ambalo ni la kimaumbile cant settle in Feelings. Vikilipuka vimelipuka. [emoji13]No shame no caring no what.
Umeongea point muhimu Sana mkuu[emoji106]
 
Jamaa amechemka na dem ni mshindi.
Alichotaka ni ngono.
Pamoja na alikudanya lkn bado alipokutaka ukamgonga.
Tayari umejivunjia uaminifu kuwa huwa hupendi kudanyanywa.

Umeonyesha udhaifu sana
 
Nashukuru Sana kwa mwanaume nilienae mwanaume akikupenda anakupenda tu kama hakupendi atawekwa vikwazo
Huwa ninakukubali kitu kimoja nacho unajua kujivunia sana gunia lako kila upatapo😁😅😅😅
 
DeepPond
My take:
Never under estimate power of woman in mission, mwanamke akiamua Jambo lake huchomoki, otherwise uwe jasusi Kama yy au zaidi yake
emoji1431.png


Point iko hapo.
 
Una vi-element vya manipulation[emoji4]
Hapana Ila kuwa na mim kuna muda ni msumbufu mno ila mi situkani nilijaribu tu kukaripia siku moja kilichonikuta weee sijawah rudia mwanaume wangu hapendi kelele kabsa
 
Kuna mambo 4 Kama mwanaume unapaswa kuyajua
1.Wanaume tunatamani Kwanza
2. Wanawake wanapenda baadae
3. Ukizidisha attention,unazd kumkosa,
4. Akishakupenda, usipompa attention anachanganyikiwa
Namba 3. Inanitesa sana hiyo
 
Sema we jamaa una drama sana

Kama sio kuangalia sanaa movie basi ni vitabu vimekualib sanaa
 
Hahahaaa utakua mzee wa kumind mind vitu vidogo
 
Back
Top Bottom