Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dejan mimi ni mtu poa sana...kwanza all the time I have smile on my face. Yaani sichukizwi na vitu vidogo na hata ukinichukiza just say sorry kila kitu nitafuta.ila kunidanganya daah hua sisahau hichi kitu nahisi ishakua psychological problem. I'm so succumbed with truthEhee mi sipendi wanaume walio complicated kitu kidogo tu wamesusa napenda mwanaume easy going
Kama ni mwanamke wa malengo sawa kumuhangaikia ila hawa wa kupita tu kujichosaha akili na nguvu ni upuuzi. Wanafki wa humu jf ndio wanawezaHila wakuu kumbembeleza kipaji au kumfuatilia demu Miaka Mimi siwezi Mimi nakufuatilia week ukizngua nakupotezea
Utakuja kupigwa mbupu kwa tabia zako za kike kike hizi. Unasusa susa kibinti binti. Bwege mtozeni weweHuna akili You fucxking donkey...endelea kujipendekeza kwao wakugeuze shosti yao.
Ukiendelea na hii attitude utabanduliwa vibaya sana😂tena mwaka hauishiKususa nisuse mimi kuumia uuumie wewe😅
Maajabu haya. Au ninwewe huyo mwanamke nini??
💯🤝Kuna mambo 4 Kama mwanaume unapaswa kuyajua
1.Wanaume tunatamani Kwanza
2. Wanawake wanapenda baadae
3. Ukizidisha attention,unazd kumkosa,
4. Akishakupenda, usipompa attention anachanganyikiwa
Nakushauri tu kuwa makini, wasije wakakutambalizia mkuyenge huko unyabeni kwako🤣Haya mzee haina shida ✌️
Uongo mbaya sanaDejan mimi ni mtu poa sana...kwanza all the time I have smile on my face. Yaani sichukizwi na vitu vidogo na hata ukinichukiza just say sorry kila kitu nitafuta.ila kunidanganya daah hua sisahau hichi kitu nahisi ishakua psychological problem. I'm so succumbed with truth
Man’s on a mission.Uongo mbaya sana
Akifika hiyo namba 4 ndo wakati wa kula mbususu yake kweli kweli hautajutaKuna mambo 4 Kama mwanaume unapaswa kuyajua
1.Wanaume tunatamani Kwanza
2. Wanawake wanapenda baadae
3. Ukizidisha attention,unazd kumkosa,
4. Akishakupenda, usipompa attention anachanganyikiwa
Tuliokimbia umande karibu tujing'ate ulimi[emoji38]Nilidhani Mimi tu ndio nimeiona hii. [emoji23][emoji23][emoji23] Maana ukisona story yenyewe unashindwa kuelews hiyo malcontent imekuja je hapo.
Au mi ndio sielewi?
Wanaume tunapenda wanawake submissive,wasio na makelele wala mashindano.Hapana Ila kuwa na mim kuna muda ni msumbufu mno ila mi situkani nilijaribu tu kukaripia siku moja kilichonikuta weee sijawah rudia mwanaume wangu hapendi kelele kabsa
Kuna la kujifunza Sasa[emoji4]Namba 3. Inanitesa sana hiyo