Alinionya "nisiwapende wanawake wa kizazi hiki" lakini sikusikiliza

Alinionya "nisiwapende wanawake wa kizazi hiki" lakini sikusikiliza

Eeeh?! Bibi umefika mbali sana.
Inachosha hizi kelele kila siku jamaa anakuja na ID hii akimaliza anakuja na ile ID nyingine wanawake hiki wanawake kile usipende mwanamke usimpe umuhimu mwanamke bla bla blaaa mwanamke......


Atafute mwanaume mmoja sasa awe na mahusiano nae hapo anakua kapiga chini wanawake foreva. Tofauti na hapo wanawake wanaeee watamnyoosha hadi siku anakata roho
 
Approximately 90%+ of millenial women do that.
Ndio maana imekua kama samaki mmoja akioza wameoza wote.
I do have all of them but none each of them is millenial gen especially my grandma and my mum.
Kuhusu shangazi I don't give a damn.
Dada ninao na ninawaombea wasije wakaangukia huko maana ndio kizazi hiki.Binti alifariki akiwa mdogo sina mtoto labda Allah akinijaalia mwingine.
Hiyo percent yako nakataa!!! Otherwise kusingekuwa na ndoa hapa nchini!!! Jamani kwa nini baadhi ya watu hesabu zinawapiga chenga????!!!! Hivi unaelewa what does 90% of what you call millenial women mean???!!!! Pole kwa kufiwa na mtoto Mungu akujalie upate mwingine.
 
Back
Top Bottom