Alinionya "nisiwapende wanawake wa kizazi hiki" lakini sikusikiliza

Alinionya "nisiwapende wanawake wa kizazi hiki" lakini sikusikiliza

Nishalipiwa ada 2times na wakaka tofautitofauti

Mungu awabariki huko walipo☺️
Kwahiyo unawaona wajinga waliokulipia ada sio?! Unatudhihirishia kiwango chako cha hali ya juu cha utaahira na uombaomba si ndivyo?!

Inawezekana walikulipia kwa kuwa uliwadanganya huna wazazi, huna ndugu na huna msaada... Maisha yako magumu, na story chungu tele za kutunga majamaa wakaingiwa na huruma ya ubinadamu wakakusaidia au inawezekana vilevile walikulipia kwa madhumuni fulani ya kutegemea malipo kutoka kwako mbeleni. Jokes away hakuna hata mmoja wapo aliyekukojolea hapo?!
 
Kwahiyo unawaona wajinga waliokulipia ada sio?! Unatudhihirishia kiwango chako cha hali ya juu cha utaahira na uombaomba si ndivyo?!

Inawezekana walikulipia kwa kuwa uliwadanganya huna wazazi, huna ndugu na huna msaada... Maisha yako magumu, na story chungu tele za kutunga majamaa wakaingiwa na huruma ya ubinadamu wakakusaidia au inawezekana vilevile walikulipia kwa madhumuni fulani ya kutegemea malipo kutoka kwako mbeleni. Jokes away hakuna hata mmoja wapo aliyekukojolea hapo?!
Usemayo sijali! Muhimu ada ililipwa
Wao ni watu wazima hawajikojolei
 
Wanawake wajinga sana.
Hii niliona kwa mamakwe wangu wa kwanza,aisee alimjaza chuki mkewangu juu ya baba yake.
Ila nilipokuja kupata the true story aisee yule mama ni nyoka.
Yani alimjaza mwanae sumu za uongo kujisafisha aonekane msafi lawama zirudi kwa baba mtu.
Bahati nzuri Mungu sio hamdala kiuno,alimuumbua vibaya yule mama.
Mkuu Samahani lakini, ila Baba mkwe na Mama mkwe ni wazazi wako pia. Si vyema kuyashughulikia na kuyashabikia hayo. Maana na wewe ni sehemu ya familia... Mtihani wenu wote, cha msingi ingetumia mbinu mbadala hata kama ingechukua miaka zaidi ya kumi (10)... Ungehakikisha unarudisha mahusiano ya mkeo na Baba yake.
 
Hapa tunaangalia kwa wingi na pia nimetaja maeneo husika.
Huko talaka ni jambo la kawaida.
Nenda,zungumza na wanawake atakwmabia mimi na ndoa mbili,huyu tatuu yule nne.
Kule huruhusiwi kumpiga mwanamke,hata kama kakukosea ukimgombeza amakumpiga kesi yako.
Mwanamke wa kule ana nguvu, wanaume wanapelekeshwa tuu.
Mwanamke akipata bwana mwenye pesa atazua ya kuyazua ilimradi apate talaka yake.
Ni kawaida sana Unguja na Pemba.
Mimi sizungumzii kule bali uwongo wako wa waislam kuachana sana kana kwamba ni 90%,huko marekani hawaachani!?..angalia rate ya talaka USA na ulaya
 
Huyu mwamba kuna siku ex wake alihojiwa,akawa anasema anajuta kwa nini aliachana na Tyrese, Tyrese baada ya kuona ile Intvw mwamba aliongea kwa uchungu machozi yana mtoka,inaonekana demu alimpukutisha sana.

Kuna podcast moja hivi ya malumbano kati ya wanaume na wanawake.Wanawake wakawa wanahoji kwa nini US wanaume wanaogopa kuoa. Kuna mwana mmoja akasema hawaogopi kuoa, sababu talaka nyingi US kwa asilimia zaidi ya 70 zinakuwa initiated na wanawake sababu, hawana cha kupoteza.Ila mwanaume jiandae mali zako kupigwa pasu, kuna Allomony kwa ajili ya mkeo na kuna Child Support ya watoto. Allomony na Child support zinalipwa kila mwezi.

50 cents, Cris brown,Kevin Durant, James Harden na masupastaa wengine wengi hawa hawana mpago wa kuoa kabisa nk.Young Jeezy nae yamemkuta kama yaliyo mkuta Tyrese ila ameamua kula jiwe ila moyoni ana maumivu amaeyaficha moyoni.Masupastaa wengi wa mbele ambao wana ndoa imara (LeBron,Snoop,Jalen Brunson japo kaoa juzi ila demu wake ni rafiki yake kipindi wakiwa college) ni wale walianza mahusiano tokea wakiwa hawana kitu yani kipindi wapo college/utotoni.Ila hawa wanaokuja baada ya kupata kitu, probability ya ndoa kuvunjika zaidi ya asilimia 70.
Pamoja na kwamba alishaachana na jamaa na kuchukua mali nusu,hayo yote kasahau anataka warudiane
 
Hali mbaya ya kiuchumi kivipi? Kama wanagawana nusu kwa nusu unasemaje kuwa ni hali mbaya??? Mfano umesema USD 40 billion hiyo ni pesa ndogo? Au mwenzetu ni billionaire mkubwa sana??!!
Umesoma vizuri comment yangu?Hebu karudie tena kusoma nilikuwa na mzungumzia nani?Naona kama umekurupuka, hebu soma tena.
 
Yule mamkwe amezaa watoto wanne kila mmoja ana baba yake.
X wife alikua watatu kuzaliwa na babaye watatu.
Yule mzee/babamkwe alikubali kusilimu ili amuoe yule mama,kwasababu bamkwe alikua mkristo si unajua wachaga mpaka umbadilishe dini ni mbinde?
Alibadili dini akamuoa yule mama,sasa wakaishi na kuishi,yule bimkubwa alipata mzigua mwenzake huko ambaye muislam mwenzake.
Kule penzi limemkolea akajisahau kama kamsilimisha mchaga huku,at the end akaanzisha vurugu mara ooh mtu mwenyewe dini haufati muislam jina mara ooh sijui vile akadai talaka ndoa ikavunjika.
Yule mzee alidata alipagawa alianza kuwa mlevi hadi akafukuzwa kazi,na alikua daktari wa watoto hospitali ya rufaa.
Ulevi ulipitiliza akaachishwa kazi.
Dada yake na baba mkwe ile kitu ilimuuma,alisitisha huduma zote kwa yule mama na akasema mtoto watamlea wenyewe,mama akagoma akasema mtoto nabaki naye mimi.
Basi yule shangazi mtu akawa anatoa huduma kwa mtoto tu tena zenye limit.
Ile ikawa inamuuma yule mamakwe,mtoto kadri alivyokua anakua akawa anamjaza ujinga kuwa baba yake alikua mlevi na muhuni wa wanawake ndio maana wakaachana.
Na baba yake ana uwezo ila amekataa kuwahudumia na mali kampa dada yake ndio aziendeshe.
Mtoto akakua na ile chuki hadi ukubwani.

Kipindi anakua shangazi yake alitoa nyumba nzuri tu ili akae yeye na mama yake.Mama mtu asivyo na adabu akamleta mwanaume hawajaoana akawa anaishi nae mule ndani.
Yule jamaa alipofariki msiba ukafanyika pale,ndipo shangazi mtu akafahamu kuwa nyumba alotoa kwaajili ya mtoto wa kaka yake wifi yake alikua anaishi na hawara yake.
At the end ugomvi ulienda ukaisha.
Ila baba mkwe alifariki kwa kuungua na moto.


Unaweza ukaona wanawake ni nyoka kiasi gani mkuu.
Kwahiyo dahh! Baba mkwe wetu alikula adhabu hapahapa kwanza ya moto kwa uzwazwa na udhaifu wa kufikia kubadili dini kisa mwanamke...

Ila ni kisa chenye kusikitisha. Poleni sana kaka, hivi viumbe ni hatari! 🙌
 
Back
Top Bottom