Alinionya "nisiwapende wanawake wa kizazi hiki" lakini sikusikiliza

Alinionya "nisiwapende wanawake wa kizazi hiki" lakini sikusikiliza

Ndio maana mimi nilipomuoa huyu mkewangu wasasa nilimpa kauli mbili ngumu.
Nilimwambia mimi ni mtu ambaye halazimishi mapenzi na habembelezi, kwanza sijakulazimisha kuolewa na mimi.
Hivyo ukitaka kaa usipotaka ondoka,maana maisha ya mahusiano hayalazimishwi.
Pili mimi ni muajemi ama mwarabu ama msomali,bimaana mtu wa kisasi alkisasi haqqi.
Sasa ukifanya ujinga usidhani nitaufumbia,nitaulipiza mara elfu yake na nitakufanya ujute wewe hadi kizazi kilichokuzaa.

😂😂😂😂Weee kalivyo kajinga kakaenda kumwambia mamaake hadi nyumbani kakataka kuondoka kwa hofu.
Ila alhamdulillah hazingui,kama akizingua najua namna ya kumpa stahiki yake.
Al-akhy ulitisha walalooo 😂👍🙌
 
Mimi sizungumzii kule bali uwongo wako wa waislam kuachana sana kana kwamba ni 90%,huko marekani hawaachani!?..angalia rate ya talaka USA na ulaya
Duh umekimbia fasta sana mkuu toka Zanzibar mpaka Marekani ni umbali mrefu sanaa.
Mimi nimezungumzia hawa niliowataja.
Sio uongo,ni ukweli kwa 100%
Wao wanaita chungu.
Utawasikia wakiulizana "Chungu cha ngapii"
 
Acha hela kadri ya uwezo wako, mpige miti vizuri

Acha vitisho havisaidii! Wanachapiwa wanajeshi, Marais sembuse wewe
Rais gani anachapiwa au alichapiwa ephen?! Unaropoka sana na uhuru umezidi mipaka eeh?!

Unajua wale mawasiliano yao yote yako traced na kila nyendo wanafuatiliwa kwa ulinzi na usalama wao binafsi, familia zao na nchi kwa ujumla. Hayo huwa ni maneno tu achaneni na story za kudanganywa.
 
Juzi kati nilikula tigo ya binti wa miaka 17 joseph1989
Oya! We jamaa nilishakusoma una majini na mashetani mchanganyiko... Juzi kati ulianzisha uzi kutaka msaada maana umebobea kwenye hiyo michezo watu wakusaidie, leo unatuletea upumbavu wako humu. Nia na dhumuni la kuandika hivyo ni nini?! Wewe unaweza ukawa shoga wewe au muda si mrefu utaanza kupakuliwa... Hatukuelewi!
 
Back
Top Bottom