Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Inachosha hizi kelele kila siku jamaa anakuja na ID hii akimaliza anakuja na ile ID nyingine wanawake hiki wanawake kile usipende mwanamke usimpe umuhimu mwanamke bla bla blaaa mwanamke......Eeeh?! Bibi umefika mbali sana.
Bila buku ya mbege siwezi😅Kuna nini hapa ebu nisome mwanzo mpaka hapa😂
Kuna Nini hapa ebu nisome mwanzo wa mada mpaka hapa mlpofkia😂😂😂 Kaujiko uujiko (in mtanga's voice) Wachaga wameanza sifa lini lakini Hope urassa 😏😏😏
Huwezi nini wakwetu subiri nkasome mwanzo kwanza bhanaa weeBila buku ya mbege siwezi😅
Kwamba kuna watu ,hawataki wanawake eti wote wameniachia mimi peke yangu🤔Huwezi nini wakwetu subiri nkasome mwanzo kwanza bhanaa wee
Heeee kwa hiyo unawasomola mwenyewe😂😂😂Kwamba kuna watu ,hawataki wanawake eti wote wameniachia mimi peke yangu🤔
ephen_ unasema kwa ground vitu Ni different kbsa eti😂Kinachonishangaza huku mtaani wanaume hawapo hivi ambavyo mnajitutumua jf
Ada za chuo zinalipwa, tunatumiwa hadi hela "hii mpe mama" na bado mtu analilia kukuoa☺️🙌
Naachaje mfano 😁Heeee kwa hiyo unawasomola mwenyewe😂😂😂
Huwa Natuma kimya kimya ili wanaJF wasijue waanze kunipopoma😂Au wewe unasemaje!😂
Huwa unatuma miamala kwa wifi?
Duuh aiseeee inasikitisha sana ,kama yupo tayari kurudiana naye ,je na yeye yupo tayari kurudisha ule mpunga 50% aliouchukua?
Wana JF Kila kitu hawafanyi ila ukiwakuta wanalia mbele ya wanawake zao huwezi amini ndio macrasher ya hapaHuwa Natuma kimya kimya ili wanaJF wasijue waanze kunipopoma😂
Ila ukweni nasaidiaga sana
Wewe ndiye mwanaume rijali ninayemjua sasa!Huwa Natuma kimya kimya ili wanaJF wasijue waanze kunipopoma😂
Ila ukweni nasaidiaga sana
Mtu Kama dronedrake huwa anazuga tu na slogan yake ya "KATAA NDOA" Kumbe kwa ground jamaa ameoa kbsa na anaenjoy ndoa yake.Wana JF Kila kitu hawafanyi ila ukiwakuta wanalia mbele ya wanawake zao huwezi amini ndio macrasher ya hapa
UONGO UONGO UONGOanaenjoy ndoa yake.
Nimekuelewa Sana mkuu na nipo makini sanaWewe ndiye mwanaume rijali ninayemjua sasa!
Ila kua makini, mtumie pesa mwanamke anayekupenda malaya mpige chini.
wana wake zao humo ndani akili kichwaniMtu Kama dronedrake huwa anazuga tu na slogan yake ya "KATAA NDOA" Kumbe kwa ground jamaa ameoa kbsa na anaenjoy ndoa yake.
Ukitilia maanani kila linalosemwa hapa JF aisee unaeza kufa kwa pressure 😂
Ukweli huo Wala sijadanganya😂UONGO UONGO UONGO
UONGOUkweli huo Wala sijadanganya😂
Hiyo percent yako nakataa!!! Otherwise kusingekuwa na ndoa hapa nchini!!! Jamani kwa nini baadhi ya watu hesabu zinawapiga chenga????!!!! Hivi unaelewa what does 90% of what you call millenial women mean???!!!! Pole kwa kufiwa na mtoto Mungu akujalie upate mwingine.Approximately 90%+ of millenial women do that.
Ndio maana imekua kama samaki mmoja akioza wameoza wote.
I do have all of them but none each of them is millenial gen especially my grandma and my mum.
Kuhusu shangazi I don't give a damn.
Dada ninao na ninawaombea wasije wakaangukia huko maana ndio kizazi hiki.Binti alifariki akiwa mdogo sina mtoto labda Allah akinijaalia mwingine.