Alinisaliti nimebeba mimba ya mwanaume mwingine ananiambia niitoe ili anioe

Alinisaliti nimebeba mimba ya mwanaume mwingine ananiambia niitoe ili anioe

Rosemin

Member
Joined
May 21, 2023
Posts
70
Reaction score
532
Wakuu naombeni ushauri wako, sijui nifanye nini. Mimi ni binti wa miaka 23, nipo chuo mwaka wa pili naingia watatu. Naomba ushauri wako, mwaka jana nilikuwa na mpenzi wangu, ni mwanafunzi mwenzangu, lakini tukagombana tukaachana, na yeye akamchukua rafiki yangu. Nikiwa katika maumivu, nilikutana na mwanaume mwingine ambaye naye pia ni mwanafunzi mwenzangu.

Alinisaidia sana kupona maumivu yangu; alikuwa ananijali, ananisikiliza, na kila kitu ananifanyia. Kaka, nilikuwa vizuri sana. Baada ya kuona kuwa X wangu hanijali, na amemchukua rafiki yangu, niliamua kumkomoa, nikabeba mimba ya huyu kaka ambaye niko naye.

Kweli nilimwambia, na alikubali, akanipeleka mpaka kwao. Shida, kaka, inakuja sasa hivi nina ujauzito wa miezi minne. Nyumbani hawajui kama nina mimba. X wangu amesikia kuwa nina mimba na kunitafuta ili tuongee. Kusema kweli, kaka, nilikuwa na hasira naye, lakini aliponitafuta nilihisi kuchanganyikiwa. Kwanza niliona kabisa, yaani niliona kama dunia imefunguka.

Nilikubali kuonana naye, ingawa nilijaribu kuficha, lakini alitaka tufanye mapenzi. Akaona tumbo langu, nikawa sina namna zaidi ya kumwambia kuwa nina mimba ya mwanaume mwingine. Aliumia sana na kuniambia kuwa ananipenda na sikutakiwa kuzaa kwa sasa. Kusema kweli, nimekaa na kufikiria, sitaki kuzaa hasa na huyu mwanaume niliyenaye kwani nahisi simpendi.

X wangu aliniambia anataka kunirudia na anataka kunioa. Ameshanivalisha pete, ingawa siyo kwa sherehe, lakini kanivalisha na akaniambia nitoe hii mimba ya huyu mwanaume kisha nibebe mimba yake, kwani ananipenda na hataki nirudiane na huyu mwanaume. Kaka, naomba ushauri, namuachaje huyu kaka kwani kanisaidia sana. Kumpenda simpendi, ni ile tu wakati ule nilikuwa na shida. Sitaki kumuumiza, nawaza nimuachaje ili asiumie.

Ingia @ajirapediathanks
 
Ikiwezekana usiishie tu kutoa mimba, chomoa mpaka kizazi. Nyambafu kwenu wanajua upo chuo kumbe unasomea mapenzi
Inasikitisha wazazi huko walipo wanauza mpaka mashamba wanaweka rehani uhuru wao lakini watoto wenyewe ndiyo hawa.

Nakata tamaa kabisa na hivi tupo 2024 pakikucha hapo 2040/45 tunaozaa sasa hawa hawa watoto wetu tunaowazaa leo ndiyo watakaotuuwa kwa pressure Mungu tu alinde.
 
Leo nimeelewa Ushauri alionipa Mzee mwenzangu miaka fulani, kwamba pamoja na kujitahidi kutumia gharama nyingi kusomesha watoto wetu

Tusiache kutenga fedha za kuupa miili yetu furaha

Yaani binti hata hajamaliza Course work tayari wameanza kupeana mimba huko Chuoni??

Hii hela niliyotenga ya Kulipa Ada, Wacha nami nimbebe Bibi yenu tukale maisha Zanzibar
 
Wakuu naombeni ushauri wako, sijui nifanye nini. Mimi ni binti wa miaka 23, nipo chuo mwaka wa pili naingia watatu. Naomba ushauri wako, mwaka jana nilikuwa na mpenzi wangu, ni mwanafunzi mwenzangu, lakini tukagombana tukaachana, na yeye akamchukua rafiki yangu. Nikiwa katika maumivu, nilikutana na mwanaume mwingine ambaye naye pia ni mwanafunzi mwenzangu.

Alinisaidia sana kupona maumivu yangu; alikuwa ananijali, ananisikiliza, na kila kitu ananifanyia. Kaka, nilikuwa vizuri sana. Baada ya kuona kuwa X wangu hanijali, na amemchukua rafiki yangu, niliamua kumkomoa, nikabeba mimba ya huyu kaka ambaye niko naye.

Kweli nilimwambia, na alikubali, akanipeleka mpaka kwao. Shida, kaka, inakuja sasa hivi nina ujauzito wa miezi minne. Nyumbani hawajui kama nina mimba. X wangu amesikia kuwa nina mimba na kunitafuta ili tuongee. Kusema kweli, kaka, nilikuwa na hasira naye, lakini aliponitafuta nilihisi kuchanganyikiwa. Kwanza niliona kabisa, yaani niliona kama dunia imefunguka.

Nilikubali kuonana naye, ingawa nilijaribu kuficha, lakini alitaka tufanye mapenzi. Akaona tumbo langu, nikawa sina namna zaidi ya kumwambia kuwa nina mimba ya mwanaume mwingine. Aliumia sana na kuniambia kuwa ananipenda na sikutakiwa kuzaa kwa sasa. Kusema kweli, nimekaa na kufikiria, sitaki kuzaa hasa na huyu mwanaume niliyenaye kwani nahisi simpendi.

X wangu aliniambia anataka kunirudia na anataka kunioa. Ameshanivalisha pete, ingawa siyo kwa sherehe, lakini kanivalisha na akaniambia nitoe hii mimba ya huyu mwanaume kisha nibebe mimba yake, kwani ananipenda na hataki nirudiane na huyu mwanaume. Kaka, naomba ushauri, namuachaje huyu kaka kwani kanisaidia sana. Kumpenda simpendi, ni ile tu wakati ule nilikuwa na shida. Sitaki kumuumiza, nawaza nimuachaje ili asiumie.

Ingia @ajirapediathanks
Unapo elekea utapigwa tukio na huyo bwana wako anaye kwambia utoe hiyo mimba, ambalo hutakuja kusahau maishani mwako,blad faken kabisa wewe.
 
Wakuu naombeni ushauri wako, sijui nifanye nini. Mimi ni binti wa miaka 23, nipo chuo mwaka wa pili naingia watatu. Naomba ushauri wako, mwaka jana nilikuwa na mpenzi wangu, ni mwanafunzi mwenzangu, lakini tukagombana tukaachana, na yeye akamchukua rafiki yangu. Nikiwa katika maumivu, nilikutana na mwanaume mwingine ambaye naye pia ni mwanafunzi mwenzangu.

Alinisaidia sana kupona maumivu yangu; alikuwa ananijali, ananisikiliza, na kila kitu ananifanyia. Kaka, nilikuwa vizuri sana. Baada ya kuona kuwa X wangu hanijali, na amemchukua rafiki yangu, niliamua kumkomoa, nikabeba mimba ya huyu kaka ambaye niko naye.

Kweli nilimwambia, na alikubali, akanipeleka mpaka kwao. Shida, kaka, inakuja sasa hivi nina ujauzito wa miezi minne. Nyumbani hawajui kama nina mimba. X wangu amesikia kuwa nina mimba na kunitafuta ili tuongee. Kusema kweli, kaka, nilikuwa na hasira naye, lakini aliponitafuta nilihisi kuchanganyikiwa. Kwanza niliona kabisa, yaani niliona kama dunia imefunguka.

Nilikubali kuonana naye, ingawa nilijaribu kuficha, lakini alitaka tufanye mapenzi. Akaona tumbo langu, nikawa sina namna zaidi ya kumwambia kuwa nina mimba ya mwanaume mwingine. Aliumia sana na kuniambia kuwa ananipenda na sikutakiwa kuzaa kwa sasa. Kusema kweli, nimekaa na kufikiria, sitaki kuzaa hasa na huyu mwanaume niliyenaye kwani nahisi simpendi.

X wangu aliniambia anataka kunirudia na anataka kunioa. Ameshanivalisha pete, ingawa siyo kwa sherehe, lakini kanivalisha na akaniambia nitoe hii mimba ya huyu mwanaume kisha nibebe mimba yake, kwani ananipenda na hataki nirudiane na huyu mwanaume. Kaka, naomba ushauri, namuachaje huyu kaka kwani kanisaidia sana. Kumpenda simpendi, ni ile tu wakati ule nilikuwa na shida. Sitaki kumuumiza, nawaza nimuachaje ili asiumie.

Ingia @ajirapediathanks
Kati ya kitu ambacho Huwa mnafeli ni kumrudia x wako wakati alikuacha.....kama anakupenda akupende na hiyo mimba mshkaji usimuache kisa x wako amekuvisha Pete...na wakati yeye alikupeleka mpka kwao......hapo nd kipimo Cha mindset yako!!!!
 
KWA KUANGAIKA HUKU TUNAKUKARIBISHA KWENYE CHAMA SINGLE MOTHER ILA WENZAKO TUNAJUA KUZIPAMBANIA NDOTO ZETU NA NDOTO ZA WATOTO WETU NA UMRI WETU ISHASOGEA 30+ HIVYO TWAJUA WAPI PA KUINGILIA NA WAPI TUTOKEE WATOTO WAENDE CHOONI HUO MZIGO KAWAPELEKEE WAZAZI WAKO UTAVUNA ULICHOPANDA NA UKITOA MIMBA ANAKUACHA HUWAJUI VIZURI WANAUME WEWE
 
Inasikitisha wazazi huko walipo wanauza mpaka mashamba wanaweka rehani uhuru wao lakini watoto wenyewe ndiyo hawa.

Nakata tamaa kabisa na hivi tupo 2024 pakikucha hapo 2040/45 tunaozaa sasa hawa hawa watoto wetu tunaowazaa leo ndiyo watakaotuuwa kwa pressure Mungu tu alinde.
Huyo sio mtoto Tena n mtu mzima anachokifnya anakijua
 
Wakuu naombeni ushauri wako, sijui nifanye nini. Mimi ni binti wa miaka 23, nipo chuo mwaka wa pili naingia watatu. Naomba ushauri wako, mwaka jana nilikuwa na mpenzi wangu, ni mwanafunzi mwenzangu, lakini tukagombana tukaachana, na yeye akamchukua rafiki yangu. Nikiwa katika maumivu, nilikutana na mwanaume mwingine ambaye naye pia ni mwanafunzi mwenzangu.

Alinisaidia sana kupona maumivu yangu; alikuwa ananijali, ananisikiliza, na kila kitu ananifanyia. Kaka, nilikuwa vizuri sana. Baada ya kuona kuwa X wangu hanijali, na amemchukua rafiki yangu, niliamua kumkomoa, nikabeba mimba ya huyu kaka ambaye niko naye.

Kweli nilimwambia, na alikubali, akanipeleka mpaka kwao. Shida, kaka, inakuja sasa hivi nina ujauzito wa miezi minne. Nyumbani hawajui kama nina mimba. X wangu amesikia kuwa nina mimba na kunitafuta ili tuongee. Kusema kweli, kaka, nilikuwa na hasira naye, lakini aliponitafuta nilihisi kuchanganyikiwa. Kwanza niliona kabisa, yaani niliona kama dunia imefunguka.

Nilikubali kuonana naye, ingawa nilijaribu kuficha, lakini alitaka tufanye mapenzi. Akaona tumbo langu, nikawa sina namna zaidi ya kumwambia kuwa nina mimba ya mwanaume mwingine. Aliumia sana na kuniambia kuwa ananipenda na sikutakiwa kuzaa kwa sasa. Kusema kweli, nimekaa na kufikiria, sitaki kuzaa hasa na huyu mwanaume niliyenaye kwani nahisi simpendi.

X wangu aliniambia anataka kunirudia na anataka kunioa. Ameshanivalisha pete, ingawa siyo kwa sherehe, lakini kanivalisha na akaniambia nitoe hii mimba ya huyu mwanaume kisha nibebe mimba yake, kwani ananipenda na hataki nirudiane na huyu mwanaume. Kaka, naomba ushauri, namuachaje huyu kaka kwani kanisaidia sana. Kumpenda simpendi, ni ile tu wakati ule nilikuwa na shida. Sitaki kumuumiza, nawaza nimuachaje ili asiumie.

Ingia @ajirapediathanks
Hibi Una Akili kweli Wewe....Mungu ingilia kati kizazi hichi.
 
Back
Top Bottom