Alinisaliti nimebeba mimba ya mwanaume mwingine ananiambia niitoe ili anioe

Kaka, naomba ushauri, namuachaje huyu kaka kwani kanisaidia sana. Kumpenda simpendi, ni ile tu wakati ule nilikuwa na shida. Sitaki kumuumiza, nawaza nimuachaje ili asiumie.
KUBABABAKE.

Sina cha kumshauri mleta uzi, Yeye lolote atakalofanya ni sawa tu. Mtu isipomfaa akili yake basi utamdhuru Ujinga wake.

BUT USHAURI kwa Wanaume wasomaji.
Nimekuwa naandika humu kila siku kuwa, Sacrifice utayofanya kwa mwanamke huwa sio chochote na sio lolote pale inapokuja swala la feeling za mwanamke. WOTE TUNAONA HAPO KIJANA ALIPAMBANA ILA MWISHO HAYA NDIO MATUNDA.(Na huyo jamaa akileta kelele ataishia kuambiwa "kwani nilikulazimisha", "kwani nilikuomba unisaidie"n.k.

WEWE MSOMAJI pia sio special, hauna uspesho wowote. Linalomkuta Mwanaume mwenzako, basi nawewe linaweza kukutokea vilevile. HIVYO kama huko uliko unafanya huu upumbavu wa kujitoa sehemu usipopedwa huku ukijiaminisha kuwa ukifanya hivyo utapendwa, basi acha huo UJINGA, ULOFA, UCHIZI na UKICHAA.

Be a Man, Stay Taliban.
 
Usikubali akuoe uyo uyo aliekupa mimba
 
Us
isiogope mkuu, tuzae tu huku tukiwekeza katika maadili yao
 
KAMA SIO BIKRA USIOE
 
Naomba niwasindikize babu.
 
Wakati wa kusoma nyie mnafanya ngono,,,,,
Yaaani siku nipate litoto jinga jinga kama wewe,,,, likaenda chuo likabebeshwa mimba,,,, na ubaba na mtoto ndip umeisha hapo.
 
Ujinga wakati wa kwenda tu. Sasa naone wewe hata wakati wa kurudi umebeba ujinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…