Alinisaliti nimebeba mimba ya mwanaume mwingine ananiambia niitoe ili anioe

Wewe ni MALAYA upo unasoma chuo,endelea kuvuna matunda ya umalaya wako:-
-Toa hio mimba
-Meza dawa za uzazi wa mpango
-ukifika miaka 28 anza kuwinda mume
-ukifika miaka 30 nenda kwa kiboko wa wachawi update mume
-ukifika miaka 32 utalikamata bwege=Li-SIMP litakuoa,mutaenda pamoja kuombewa mupate mtoto
 
Mwanamke mpumbavu kabisa wewe... πŸ˜‡

Endelea na UFUSKA + UMALAYA....
 
Acha kuchezea uhai,usitoe hiyo mimba,na huyo mwanaume anaekuambia uitoe mimba achana nae TU ,hakutakii mema.
 
Naomba namba ya mpesa ya fokita. Usisahau kuandika "ulisi" babu.

Za uongo na kweli, sitaki.
Njoo nikusimulie, zipo hadithi nyingi kwaajili yako. Tena muda huu ndiyo mzuri, Bibi yako ameenda Kijiji cha Jirani kununua Sukari 😜
 
Njoo nikusimulie, zipo hadithi nyingi kwaajili yako. Tena muda huu ndiyo mzuri, Bibi yako ameenda Kijiji cha Jirani kununua Sukari 😜
Niko na bibi, tutarudi wote.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Sema hizi chai za Idd Makengo unaweza kutukana bure km anazitunga kuwapanikisha
 
Huyo X wako hakutaki. Nia yake ni kukuharibia tu. Kinachosikitisha ni kuwa inaelekea uko tayari kutoa mimba ili umfarahishe mtu ambae hastahili haka kidogo. Uko tayari kuua na kumnyima mtoto mtu aliyekupenda kwa dhati kwa ajili ya huyo mtu muovu! Haya sio mapenzi bali ni ujinga uliopitiliza. Umemsaliti baba mtoto wako halafu juu ya yote unavaa Pete ya magumashi ya huyo mjinga mwenzako!

Nakushauri usitoe mimba bali achana na baba mtoto maana huko mbeleni utamuumiza vibaya kijana wa watu. Heri m coparent tu huyo mtoto.

Amandla...
 
Kaa kwa machale kiufupi yani usipende kukaa maeneo private na huyo mwamba atakuondoa duniani.. ukipata walau chance ya kuaga utume neno E kisha tutapokea badge ya Tanzia humu.
 
HAMNA MUOAJI HAPO...Silaha ni iliyo mkononi,bandana na baba kijacho
 
Huyo mtoto akizaliwa atakuwa na laana ya kukomolewa akiwa kazini shuleni..... maaana alizaliwa sababu ya kumkomoa mtu .......
 
Yeyote anayemjibu huyu loser ni mjinga kama mimi.

Kiwango cha juu cha ujinga nabkujianika kijinga.

Hawa ni jamii ya watekaji maana wanahamasisha mijadala inayobomoa fikra na maadili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…