Alinizungusha miaka mitatu nikajifanya nimepata ajali mbaya sana alipokuja kuniona tu nikamla

Hahaha! umenikumbusha mbali mkuu, kuna manzi nimefatilia mwezi mzima anachomoa.

One day natoka job nikakutana nae njiani anaenda hospital anaumwa.
Nikamwambia nisubiri hapa naenda geto kuchukua mkwanja nikusindikize

Nikampaki kwenye kiduka cha mangi then nikapiga kama hatua tano hivi halafu nikarudi
Nikamwambia twende wote tu geto utanisubiri nje halafu tutapita njia ile nyingine kule.

Tulivyofika nje ya geto nikamgusa halafu nikajifanya nimestuka nikamwambia
Kumbe una homa kali hivi!! hebu tuingie ndani kwanza unywe panadol upoze homa kidogo upate na nguvu za kutembea

Alivyoingia ndani nikampa panado then nikazuga kidogo kama nampima homa kucheki kama imeshuka
Kilichofata mbususu ilipigwa mpaka homa ikaisha na hospital hatukuenda tena
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],Hii nchi ina vijana wa hovyo sana.Nadhani Uhuru umepitiliza.
 
Hahahahaaa...... Kuna wakati Wanawake ni wakatili sana na ni wenye huruma pia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…