Alinizungusha miaka mitatu nikajifanya nimepata ajali mbaya sana alipokuja kuniona tu nikamla

Alinizungusha miaka mitatu nikajifanya nimepata ajali mbaya sana alipokuja kuniona tu nikamla

Kuna mrembo alinizungusha miaka mitatu.
Sms anajibu,story kwenye simu poa,kukutana maeneo tunakutana ila home hataki kuja.
Gheto langu ningeliita tu kwa Mkapa maana ukiingia hutoki.
Kuna basi la xxxxx liliwahi kupinduka na kuua watu kibao na majeruhi pia,nikamfata mshkaji wangu anafanya kituo cha afya cha kata ninayoishi akanifunga POP mkononi na plasta kichwani nikapiga picha nikaambatansha na picha za mtandaoni za lile basi baafa ya kupata ajali.nikamtumia mrembo.
Mchaga wa watu masikini akanipigia simu nikamwambia nimeruhusiwa niko home.
Akasema nielekeze nakuja
Dakika chache mtu huyu hapa na fuko la matunda.nikamwambia kama sio Mungu ningekufa huku naugulia maumivu fake,nikamkumbuka marehemu bibi yangu nikajikamua machozi haua hapa.
Akajichanganya tu akanisogelea...nilimvuta nikambusu nikampa show moja ya kibabe akabaki kujiuliza huyu ni majeruhi wa aina gani.
Nilipeleka moto sijawahi tangu nizaliwe.
Kuanzia siku hiyo akawa mpenzi wangu ma hiyo siri hakuwahi kujua labda aisome humu.
Weye ni mahabusu unayesubiri kusikiliza kesi yako mahakamani.Weye ni mbakaji.
 
Siku ya Simba day ntakupitia twende kwa Mkapa,uwanja wa Taifa ndio kwa mkapa mama,Simba tuna msemo wetu wa kutisha timu pinzani kuwa kwa Mkapa huvhomoki lazima ufungwe tu,
Ndio gheto langu ukiingia hutoki lazima uliwe tu
Ooooooh kumbe[emoji23]

Sumba oyeeeeeee
 
Daaah, mwezi wa 7 huu nimeshindwa kuvunja bikra kwa demu ambaye nampenda sana,
sababu ya kushindwa ni majirani kupita pita jirani na getto, lakini pia niseme tu alinishinda nguvu,
Juzi tu tumeachana hapa stress ninazo nyingi nawaza atakaye muokota atajipatia dodo chini ya mparachichi,
Roho inaniuma kwakweli sijui nilishindwaje mimi mtoto wa gongolamboto mwisho wa lami, ulongoni B😪😪😪😰😰😰😰😰😰
Anasoma muhas?
 
nig@@ gone extra mile jus to eat some pus$y..?
 
Back
Top Bottom