Alinizungusha miaka mitatu nikajifanya nimepata ajali mbaya sana alipokuja kuniona tu nikamla

Alinizungusha miaka mitatu nikajifanya nimepata ajali mbaya sana alipokuja kuniona tu nikamla

Kuna mrembo alinizungusha miaka mitatu.
Sms anajibu,story kwenye simu poa,kukutana maeneo tunakutana ila home hataki kuja.
Gheto langu ningeliita tu kwa Mkapa maana ukiingia hutoki.
Kuna basi la xxxxx liliwahi kupinduka na kuua watu kibao na majeruhi pia,nikamfata mshkaji wangu anafanya kituo cha afya cha kata ninayoishi akanifunga POP mkononi na plasta kichwani nikapiga picha nikaambatansha na picha za mtandaoni za lile basi baafa ya kupata ajali.nikamtumia mrembo.
Mchaga wa watu masikini akanipigia simu nikamwambia nimeruhusiwa niko home.
Akasema nielekeze nakuja
Dakika chache mtu huyu hapa na fuko la matunda.nikamwambia kama sio Mungu ningekufa huku naugulia maumivu fake,nikamkumbuka marehemu bibi yangu nikajikamua machozi haua hapa.
Akajichanganya tu akanisogelea...nilimvuta nikambusu nikampa show moja ya kibabe akabaki kujiuliza huyu ni majeruhi wa aina gani.
Nilipeleka moto sijawahi tangu nizaliwe.
Kuanzia siku hiyo akawa mpenzi wangu ma hiyo siri hakuwahi kujua labda aisome humu.
Nimecheka kama chizi
 
Mtafute tena,ni rahisi kudumu kwenye mahusiano na mwanamke uliyemtoa bikra,usikubari wahuni wakuzidi ujanja
Wasiodumu wote hawakutolewa bikra au walikataliwa na waliowatoa bikra. Achana na expectations, yeye atoe hiyo bikra akiwa mwanamke poa sawa asipokuwa atafute mwingine.
 
Wasiodumu wote hawakutolewa bikra au walikataliwa na waliowatoa bikra. Achana na expectations, yeye atoe hiyo bikra akiwa mwanamke poa sawa asipokuwa atafute mwingine.
Hata msipooana ila wanawake huwa hawasahau waliowatoa bikra hata ipite miaka elfu moja
 
Hata msipooana ila wanawake huwa hawasahau waliowatoa bikra hata ipite miaka elfu moja
Binadamu hawasahu vitu vingi. Hata mara yako ya kwanza kupata ajali hutaisahau, haimaanishi kwamba ile ajali ina umuhimu sana kwako. Ndo maana nasema yeye atimize afanye yake bila expectations.

Expectations ndo zinaleta commitment za kipuuzi na mwishowe unaamini upo deep in love na uwekezaji unakolea na ndo ukisalitiwa unalia lia kama nguruwe aliyeshindia zege badala ya pumba.
 
Binadamu hawasahu vitu vingi. Hata mara yako ya kwanza kupata ajali hutaisahau, haimaanishi kwamba ile ajali ina umuhimu sana kwako. Ndo maana nasema yeye atimize afanye yake bila expectations.

Expectations ndo zinaleta commitment za kipuuzi na mwishowe unaamini upo deep in love na uwekezaji unakolea na ndo ukisalitiwa unalia lia kama nguruwe aliyeshindia zege badala ya pumba.
Ahaaa kweli lakini
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Ndio maana madonda yenu hayaponagi haraka.
Hii kauli wengi walikuwa wanasema sana kipindi bado nauguza vidonda eti ukianza kufanya mapenzi sitapona hivyo vidonda

Aaah!!wapi nilichakata mbususu za wasalimiaje wa kike wanne kwa nyakati tofauti na vidonda vilikuwa vinaendelea vizuri tu na nilipona kwa wakati mawardat

Ni imani tu wala hakuna uhusiano wowote ule wa vidonda na mbususu mkuu wangu[emoji3]
 
Hii kauli wengi walikuwa wanasema sana kipindi bado nauguza vidonda eti ukianza kufanya mapenzi sitapona hivyo vidonda

Aaah!!wapi nilichakata mbususu za wasalimiaje wa kike wanne kwa nyakati tofauti na vidonda vilikuwa vinaendelea vizuri tu na nilipona kwa wakati mawardat

Ni imani tu wala hakuna uhusiano wowote ule wa vidonda na mbususu mkuu wangu[emoji3]
Haujionei huruma[emoji23]
 
Back
Top Bottom