Alinizungusha miaka mitatu nikajifanya nimepata ajali mbaya sana alipokuja kuniona tu nikamla

Alinizungusha miaka mitatu nikajifanya nimepata ajali mbaya sana alipokuja kuniona tu nikamla

ambia kama sio Mungu ningekufa huku naugulia maumivu fake,nikamkumbuka marehemu bibi yangu nikajikamua machozi haua hapa.
Akajichanganya tu akanisogelea...nilimvuta nikambusu nikampa show moja ya kibabe akabaki kujiuliza huyu ni majeruhi wa aina gani.
Nilipeleka moto sijawahi tangu nizaliwe.
Kuanzia siku hiyo akawa mpenzi wangu ma hiyo siri hakuwahi kujua labda aisome humu.
😅😅😅😅 Mbinu za kijemedari hizi
 
Hii mbinu naenda kuitumia mkuu , kuna pisi moja inataka tuwe tu marafiki wa kawaida ila tunawasiliana mara Kwa mara , najua nikitumia hii lazma atimbe Kwa bed tu [emoji16][emoji16][emoji16] asante sna mkuu.
 
Daaah, mwezi wa 7 huu nimeshindwa kuvunja bikra kwa demu ambaye nampenda sana,
sababu ya kushindwa ni majirani kupita pita jirani na getto, lakini pia niseme tu alinishinda nguvu,
Juzi tu tumeachana hapa stress ninazo nyingi nawaza atakaye muokota atajipatia dodo chini ya mparachichi,
Roho inaniuma kwakweli sijui nilishindwaje mimi mtoto wa gongolamboto mwisho wa lami, ulongoni B😪😪😪😰😰😰😰😰😰
 
Daaah, mwezi wa 7 huu nimeshindwa kuvunja bikra kwa demu ambaye nampenda sana,
sababu ya kushindwa ni majirani kupita pita jirani na getto, lakini pia niseme tu alinishinda nguvu,
Juzi tu tumeachana hapa stress ninazo nyingi nawaza atakaye muokota atajipatia dodo chini ya mparachichi,
Roho inaniuma kwakweli sijui nilishindwaje mimi mtoto wa gongolamboto mwisho wa lami, ulongoni B😪😪😪😰😰😰😰😰😰
Mtafute tena,ni rahisi kudumu kwenye mahusiano na mwanamke uliyemtoa bikra,usikubari wahuni wakuzidi ujanja
 
Back
Top Bottom