Alipoingia alisema hataki 'Mabango' sasa Kazoea Utamu wa 'Mercedes Benz' anasema yakusanywe yote ili yafanyiwe Kazi je, tumueleweje?

Alipoingia alisema hataki 'Mabango' sasa Kazoea Utamu wa 'Mercedes Benz' anasema yakusanywe yote ili yafanyiwe Kazi je, tumueleweje?

Hakuna Kitu GENTAMYCINE nachukia kama Unafiki na Mtu kupenda Kukurupuka bila ya Kwanza Kushirikisha Halmashauri yake ya Ubongo, Kichwa na Akili pia.

Hata hivyo sishangai sana kwani ndiyo maana hata Juzi Nyerere Day Shada la Maua limewekwa Chato Mkoani Geita kwa aliyekufa tarehe 17 Machi 2021 badala ya kuweka Butiama Mkoani Mara ( Musoma ) kwa Shujaa wa Taifa aliyekufa tarehe 14 Oktoba 1999.

Kusema Ukweli ni Desturi yangu hivyo tuvumiliane tu na ukitaka GENTAMYCINE asiwe anakukosoa sana hapa JamiiForums hakikisha unafanya Mambo yenye Akili ns siyo yenye Akili za Kunywa Wine ( Mvinyo ) kila mara tu.
you are very objective ,though we differ in some threads of yours 👊👊👊🙏🙏👏
 
Umeanza kichwa cha habari vizuri umeharibu uliposema maua kuwekwa Chato.Hakuna asiyejua juhudi zilizofanywa na JPM katika harakati za maendeleo kwa nchi hii na Afrika kiujumla.Nadhani hata Nyerere huko alipo alifurahi sana na angependa miaka yote shughuli za Mwenge zihitimishwe Chato,Kwa heshima ya shujaa mwenzake wa Afrika.
Kwa maendeleo yapi aliyoyaleta? Msipende mpaka mkawa wapumbavuu.
 
Hakuna Kitu GENTAMYCINE nachukia kama Unafiki na Mtu kupenda Kukurupuka bila ya Kwanza Kushirikisha Halmashauri yake ya Ubongo, Kichwa na Akili pia.

Hata hivyo sishangai sana kwani ndiyo maana hata Juzi Nyerere Day Shada la Maua limewekwa Chato Mkoani Geita kwa aliyekufa tarehe 17 Machi 2021 badala ya kuweka Butiama Mkoani Mara ( Musoma ) kwa Shujaa wa Taifa aliyekufa tarehe 14 Oktoba 1999.

Kusema Ukweli ni Desturi yangu hivyo tuvumiliane tu na ukitaka GENTAMYCINE asiwe anakukosoa sana hapa JamiiForums hakikisha unafanya Mambo yenye Akili ns siyo yenye Akili za Kunywa Wine ( Mvinyo ) kila mara tu.
Kwa Hangaya tumepigwa big time
 
Watu tunauelewa tofauti sana,,Mhe.Rais kusema hataki mabango mimi nilielewa kuwa kero za wananchi zishughulikiwe na viongozi wa ngazi husika siyo mpaka yeye afike wananchi walalamike kwa mabango.
 
Mabango yakusanywe yatafanyiwa kazi, yameshakusanywa.. Hizi zinazofata ni porojo t.
 
Ni pale unaposhindwa kujishughulisha na yako, na kwa kuanza kufuatilia mambo ya wengine.Ni kupoteza muda.Badala kufatilia ya wengine,ungefanya yako,ya kukuingizia kipato.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna Kitu GENTAMYCINE nachukia kama Unafiki na Mtu kupenda Kukurupuka bila ya Kwanza Kushirikisha Halmashauri yake ya Ubongo, Kichwa na Akili pia.

Hata hivyo sishangai sana kwani ndiyo maana hata Juzi Nyerere Day Shada la Maua limewekwa Chato Mkoani Geita kwa aliyekufa tarehe 17 Machi 2021 badala ya kuweka Butiama Mkoani Mara ( Musoma ) kwa Shujaa wa Taifa aliyekufa tarehe 14 Oktoba 1999.

Kusema Ukweli ni Desturi yangu hivyo tuvumiliane tu na ukitaka GENTAMYCINE asiwe anakukosoa sana hapa JamiiForums hakikisha unafanya Mambo yenye Akili ns siyo yenye Akili za Kunywa Wine ( Mvinyo ) kila mara tu.
Hakuna Kitu GENTAMYCINE nachukia kama Unafiki na Mtu kupenda Kukurupuka bila ya Kwanza Kushirikisha Halmashauri yake ya Ubongo, Kichwa na Akili pia.

Hata hivyo sishangai sana kwani ndiyo maana hata Juzi Nyerere Day Shada la Maua limewekwa Chato Mkoani Geita kwa aliyekufa tarehe 17 Machi 2021 badala ya kuweka Butiama Mkoani Mara ( Musoma ) kwa Shujaa wa Taifa aliyekufa tarehe 14 Oktoba 1999.

Kusema Ukweli ni Desturi yangu hivyo tuvumiliane tu na ukitaka GENTAMYCINE asiwe anakukosoa sana hapa JamiiForums hakikisha unafanya Mambo yenye Akili ns siyo yenye Akili za Kunywa Wine ( Mvinyo ) kila mara tu.
Mwache mama afanye kazi, angalau anayakusanya na kuyafanyia kazi. Yule mwingine alikuwa anayadharau na kuwatishia wanaobeba
 
Huyu mtoa Mada ana utindio wa ubongo. Mimi nahisi wenzake Wana mgonga .
Hiyo sentensi ya mwisho imenikumbusha mistari ya mwanadada gaidi, Zay‐B wa enzi zetu zileee katika kile kibao chake cha 'niko gado' alichomshirikisha mzee wa kibra, sir nature
 
hiyo ndo maana halisi ya siasa, ukifuatilia kila kitu anachofanya mwanasiasa utakuwa eidha hauna kazi ya kufanya au mwehu. Pia chuki zikizidi sana dhidi ya mtu basi katika namna isiyoeleweka mchukiaji anajikuta amegeuka kituko tu kama hivi
 
Mkoa wa Kilimanjaro hasa Wilaya za Moshi Moshi mjini, Vunjo, na Hai ni kuziingia kwa umakini. Ndizo zenye watu wasioogopa lolote, wanajiamini na hawababaiki. Ongeza Arusha. Hivyo kiongozi yeyote CCM hilo analijua. Hata Mwendazake alipofika Kilimanjaro ni kama alienda kuomba waigeukie CCM.
Hivyo Mh. Rais wetu naye analijua hilo. Hivyo amefanya vyema kabisa kupokea mango hayo na ninaamini yatafanyiwa KAZI.
 
Atamfukuza huyu DC na mkurugenzi akirudi Ikulu
Usiwe na haraka.
 
Back
Top Bottom