Alipuuza kuchunguza tabia za kabila uchumbani kwa kuamini ni mambo ya kale, Baada ya ndoa analalamika nyumba imekosa Privacy

Alipuuza kuchunguza tabia za kabila uchumbani kwa kuamini ni mambo ya kale, Baada ya ndoa analalamika nyumba imekosa Privacy

Simple atembee sanctions ndani ya nyumba .kwanza apunguze bajeti ya chakula na mambo mengine
 
Hi kasumbaaa,ya kichukia wageni vijana wa kisasa mmetoa wapi,enzi zetu tulikuwa tunapenda wageni,tuna mashambaa,mifugo,chakula kikipikwa hatupimi,kina pikwa kwenye sufuria kama la sherehe.mgeni siku ya kwanza ya pili,kama ni vijana wote shambani,wengine machungani,kina mama kutafta kuni,na kukamua maziwa
 
Hi kasumbaaa,ya kichukia wageni vijana wa kisasa mmetoa wapi,enzi zetu tulikuwa tunapenda wageni,tuna mashambaa,mifugo,chakula kikipikwa hatupimi,kina pikwa kwenye sufuria kama la sherehe.mgeni siku ya kwanza ya pili,kama ni vijana wote shambani,wengine machungani,kina mama kutafta kuni,na kukamua maziwa
Ushajibu mashamba yalikuwepo nakumbuka miaka hiyo. Pasheni, ndizi, papa, viazi, mihogo, miwa, karanga, Magembe, senene hivi vyote vilikuwa vya kuchukua tu shambani Leo mkuu pameshakuwa mjini

Lakini leo Kila kitu ni kununua kwahyo ni ngumu Kuhandle wageni
 
Wasakuma,waha,wanyakyusa,wazaramo bila kuwasahau ndugu zetu wapemba aise ukioa hayamakabila kazi unayo

Hasahasa wasukuma tenq ukiwa mjini wanakuja kama saba hivi tena wanabebana na majamaa zao wanakuja kukaa hata wiki.

Na wanapeleka msosi ni balaa.
😂😂😂🤣🤣
 
Babu umejiandaaje ukioa sehemu halafu ukoo mzima wa mkeo unahamia kwako?
Nae hitaji kumuoa kwao wamezaliwa 2, yeye namdogo wake. Mimi kwetu tumezaliwa 3. Lakini pia namshukuru Mungu nauwezo wa kugawana riziki na baadhi ya familia hata kabla sijaoa, naamini hata ndugu wa mke wangu nikioa ntagawana nao riziki kadri ntakavyojaliwa.
 
Nae hitaji kumuoa kwao wamezaliwa 2, yeye namdogo wake. Mimi kwetu tumezaliwa 3. Lakini pia namshukuru Mungu nauwezo wa kugawana riziki na baadhi ya familia hata kabla sijaoa, naamini hata ndugu wa mke wangu nikioa ntagawana nao riziki kadri ntakavyojaliwa.
Hivi ninaposema ndugu unaelewa vizuri au huelewi?
 
Unajipa moyo
Sijipi moyo, mama yangu mpaka sasa anatimiza miaka 70 lkn kwetu tuko mtu tatu tu na hukuna mtu anategemea mwingine. Naehitaji kumuoa mdogo wake yupo chuo kikuu anasoma civil Eng. Na mama yake na Mzee wake ni 50+, ndugu wa damu ndio huwa mtihani lakini Hawa wengine nao wanashemeji zao , wakwe zao tofauti na wewe. Jambo la kukushauri angalia familia unayotaka kuoa kisha ujipime kama utaiweza.

Nyumba yenye baraka ndio hutembelewa na wageni.
 
Ni kijana mdogo tunafahamiana kazini, Hunitazamia kama kaka yake na pindi anapokuwa kwenye changamoto kadhaa za kimaisha hupenda kunishirikisha

Kijana kaoa binti nisingependa kulitaja kabila ili kupunguza presha kwa wenye kabila lao

Ni kwamba ndugu wamekuwa wanajazana mno nyumbani kwao, Mbaya zaidi wengine wanakuja kwa kupishana leo anaondoka flani asubuhi, baada ya muda mfupi mwengine anafika,

Kijana analalamika haikuwa hivyo uchumbani lakini kaanza kuyaona baada ya ndoa, kwake imekuwa kero kwasababu ni mtu asiependa kampani ya watu wengi anapokuwa nyumbani,

Analalamika unajua sikutegemea haya, Privacy imepotea, Ndugu wa mke wanaharibu ratiba, wanaharibu bajeti, hawachangii matumizi, wamemshika mke kichwa, n.k.

Kuwachana live ndugu wa mke sio jambo rahisi, Akimwambia mke awaambie anasema wao ndio maisha yao hawezi.

Mwisho kabisa nimempa wazo la mkakati kabambe wa kutokomeza kijiji kistaarabu kabisa, Kuwa target kwa kutumia udhaifu wao, hawapendi kujishughulisha, hivyo wasichopenda ni kazi na ndicho watachopewa

Nilipomuuliza ni vipi hakutegemea hayo wakati kaoa binti wa kabila husika jibu lake liliniacha hoi, kwamba alidhani siku hizi mambo hayo yalishapitwa na wakati na binti aliemuoa ni msomi wote wamefika chuo.

Nitoe rai kwa vijana wengine, msipuuze haya mambo, mfano ukiambiwa kabila flani ni wasumbufu ukikosa pesa, kabila flani hawapendi nyumba iwe na ndugu wa mume, kabila flan wanajazana, n.k. usikatae moja kwa moja fanya uchunguzi. Kama ilivyo sifa ya sisi watanzania kuwa waoga haimaanishi ni wote ila ukitekwa tegemea kukosa msaada wa wapita njia, basi jua kila kabila lina kitu unique ambacho kinawatofautisha na makabila mengine.
WAPARE
 
Ni kijana mdogo tunafahamiana kazini, Hunitazamia kama kaka yake na pindi anapokuwa kwenye changamoto kadhaa za kimaisha hupenda kunishirikisha

Kijana kaoa binti nisingependa kulitaja kabila ili kupunguza presha kwa wenye kabila lao

Ni kwamba ndugu wamekuwa wanajazana mno nyumbani kwao, Mbaya zaidi wengine wanakuja kwa kupishana leo anaondoka flani asubuhi, baada ya muda mfupi mwengine anafika,

Kijana analalamika haikuwa hivyo uchumbani lakini kaanza kuyaona baada ya ndoa, kwake imekuwa kero kwasababu ni mtu asiependa kampani ya watu wengi anapokuwa nyumbani,

Analalamika unajua sikutegemea haya, Privacy imepotea, Ndugu wa mke wanaharibu ratiba, wanaharibu bajeti, hawachangii matumizi, wamemshika mke kichwa, n.k.

Kuwachana live ndugu wa mke sio jambo rahisi, Akimwambia mke awaambie anasema wao ndio maisha yao hawezi.

Mwisho kabisa nimempa wazo la mkakati kabambe wa kutokomeza kijiji kistaarabu kabisa, Kuwa target kwa kutumia udhaifu wao, hawapendi kujishughulisha, hivyo wasichopenda ni kazi na ndicho watachopewa

Nilipomuuliza ni vipi hakutegemea hayo wakati kaoa binti wa kabila husika jibu lake liliniacha hoi, kwamba alidhani siku hizi mambo hayo yalishapitwa na wakati na binti aliemuoa ni msomi wote wamefika chuo.

Nitoe rai kwa vijana wengine, msipuuze haya mambo, mfano ukiambiwa kabila flani ni wasumbufu ukikosa pesa, kabila flani hawapendi nyumba iwe na ndugu wa mume, kabila flan wanajazana, n.k. usikatae moja kwa moja fanya uchunguzi. Kama ilivyo sifa ya sisi watanzania kuwa waoga haimaanishi ni wote ila ukitekwa tegemea kukosa msaada wa wapita njia, basi jua kila kabila lina kitu unique ambacho kinawatofautisha na makabila mengine.
Hilo kabila ni wasambaa
 
Back
Top Bottom