Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,893
- 20,089
Usalama wa wahaini wanaotumika na mabeberu hauko salama,, we kama huna shida yeyote kwanini uwe na hofu,,,,hofu lazima uwe nayo kama unacheza michezo michafu..........andaeni barua nyingi kwenda kwa wazungu safari hiiImekuwa too much aisee, mpaka wanaohisiwa kufanya hayo matukio wanatajwa lakini hakuna hatua za kisheria zinazochukuliwa. Hii inaonyesha usalama wa Wananchi haupo salama. Na rais ndiye mkui wa vyombo vya ulinzi na usalama. Na leo anakuja anaongea maneno mepesi mepesi as if watu wanavyotekwa na kuuwawa ni kama sio binadamu.
Hahaha, Watu wanachokea kwa Samia kwa JPM wanaweza vumilia kidogo.Nadhani watu wamechoka kuvumilia. Usione watu wapo kimya kitaa. Wanaugulia moyoni.
Nadhani ule ushauri wa "kunyamaza" alio utoa Samia wakati akijua hana la maana la kuongelea mbele za watu inabidi nawe uanze kujifikiria juu yake.Msemakweli ni Mpenzi wa Mungu π
Kalamu Usiwe Mjinga Ben Saanane hadi leo haijulikani ilikuwaje japo Mbunge wenu Saed Kubenea alisema kuna mahali alikuwa anamkuta akisoma MagazetiNani hao wameipunguza. Hujui hilo ni jukumu la nani?
Hivi akili yako imekuwaje mara hii, mbona unazidi kudidimia kabisa? Kidogo ulikuwa na nafuu huko nyuma, ulikuwa ukivumilika kidogo; sasa mbona umevurugikiwa zaidi?
Kuna kitu gani kinaendelea katika maisha yako wakati huu. Kuyumba kwa CCM chini ya Samia kunatishia hali zenu?
Hivi karibuni, Wizara ya afya ilishasema mmoja kati ya watu 4 ana tatizo la afya ya akiliNi kweli Kifo Cha Shujaa Ally Mohamed Kibao kimeumiza Watu wengi na hasa ikizingatiwa alikuwa Mpiganaji
Lakini ni Ukweli' pia huko nyuma vilitokea vifo Vya kuumiza Zaidi hasa vifo Vya Mwangosi na Mawazo
Na hata shambulio la Tundu Lisu liliumiza nchi nzima
Nadhani Hoja iko Hapo Kwamba Kwanini Leo ndio iwe " Rais Must Go"?
Yesu Kristo alisema " Amri mpya nawapeni Pendaneni"
Ahsanteni
Mlale Unono πΌ
Hahaha, Hii comment imenikumbusha siku chache kabla ya maandamano ya UKUTA. Ule mkwara online na kwenye keyboard hata majirani hawakuamini kilichotokea siku ya tukio.Tukutane Dar trh 23 kwenye maandamano
SAMIA MUST GO
Ukimuelewa Boniyai na Yericko inatosha πΌNadhani ule ushauri wa "kunyamaza" alio utoa Samia wakati akijua hana la maana la kuongelea mbele za watu inabidi nawe uanze kujifikiria juu yake.
Sijawahi hata siku moja kusoma jambo ambalo umelielezea wewe na likawa la "kweli" ndani ya jukwaa hili la JF.
Kila mara ni mipasho ya kinafiki tu basi!
Kwa bahati mbaya, hili sikuwahi kuligundua hadi hivi karibuni ndipo nilipo elewa ajenda inayokuweka hapa.
Hao ndio akina nani kwako, ndio wanao kushikia akili yako?Ukimuelewa Boniyai na Yericko inatosha πΌ
Endeleeni kujifunza ujingaNi kweli Kifo Cha Shujaa Ally Mohamed Kibao kimeumiza Watu wengi na hasa ikizingatiwa alikuwa Mpiganaji
Lakini ni Ukweli' pia huko nyuma vilitokea vifo Vya kuumiza Zaidi hasa vifo Vya Mwangosi na Mawazo
Na hata shambulio la Tundu Lisu liliumiza nchi nzima
Nadhani Hoja iko Hapo Kwamba Kwanini Leo ndio iwe " Rais Must Go"?
Yesu Kristo alisema " Amri mpya nawapeni Pendaneni"
Ahsanteni
Mlale Unono πΌ
Ndio Walinzi wa Afisa mstaafu mh Mbowe πππ₯Hao ndio akina nani kwako, ndio wanao kushikia akili yako?
Mmeulizwa swali Shujaa Ally Mohamed Kibao ndio wa kwanza?Endeleeni kujifunza ujinga
Ndio wa mwisho.......Mmeulizwa swali Shujaa Ally Mohamed Kibao ndio wa kwanza?
Jibuni
Kwa hiyo hilo ndilo linalo watia kiwewe huko CCM, kwa vile mtu wenu kaanza kupoteza chama mlichomtengenezea?Ndio Walinzi wa Afisa mstaafu mh Mbowe πππ₯
Kwa hiyo anapendelea na kupendekeza nani akiuawa ndiyo watu wachachamae?Ni jambo jepesi tu.Achague hata watatu ila asiache na watoto wake.Ni kweli Kifo Cha Shujaa Ally Mohamed Kibao kimeumiza Watu wengi na hasa ikizingatiwa alikuwa Mpiganaji
Lakini ni Ukweli' pia huko nyuma vilitokea vifo Vya kuumiza Zaidi hasa vifo Vya Mwangosi na Mawazo
Na hata shambulio la Tundu Lisu liliumiza nchi nzima
Nadhani Hoja iko Hapo Kwamba Kwanini Leo ndio iwe " Rais Must Go"?
Yesu Kristo alisema " Amri mpya nawapeni Pendaneni"
Ahsanteni
Mlale Unono πΌ
Kwa kweli point hiko hapo!!!! mtu kufa kuna sababu kubwa sanaNi kweli Kifo Cha Shujaa Ally Mohamed Kibao kimeumiza Watu wengi na hasa ikizingatiwa alikuwa Mpiganaji
Lakini ni Ukweli' pia huko nyuma vilitokea vifo Vya kuumiza Zaidi hasa vifo Vya Mwangosi na Mawazo
Na hata shambulio la Tundu Lisu liliumiza nchi nzima
Nadhani Hoja iko Hapo Kwamba Kwanini Leo ndio iwe " Rais Must Go"?
Yesu Kristo alisema " Amri mpya nawapeni Pendaneni"
Ahsanteni
Mlale Unono πΌ
PIA SOMA
- DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali
- Iringa: Mwandishi Mwangosi auawa katika vurugu kati ya Polisi na CHADEMA
- Maandamano ya CHADEMA: Aqulina Akwilini Mwanafunzi wa mwaka wa kwanza NIT apigwa risasi na kufariki; Polisi wakiri kuhusika
Hicho chama ni Mali ya Mtei na mh Mbilinyi aka SuguKwa hiyo hilo ndilo linalo watia kiwewe huko CCM, kwa vile mtu wenu kaanza kupoteza chama mlichomtengenezea?
Unanieleza upuuzi.Kalamu Usiwe Mjinga Ben Saanane hadi leo haijulikani ilikuwaje japo Mbunge wenu Saed Kubenea alisema kuna mahali alikuwa anamkuta akisoma Magazeti
Bwana mdogo Kalamu Siasa za Tanzania ni Zaidi ya Sihasa! πΌ