Alivyoifanya Mobutu Congo DR ndio wanavyoifanya CCM Tanzania. Ni suala la muda tu Tanzania itakuwa kama Congo

Lord denning umesema ukweli mtupu. Tatizo ni kwamba kama ulivyosema hakuna wa kukusikia huko ccm maana wote vyombo vya dola, ccm na serikali wako kwenye fungate la kula nchi huku mambo yakizidi kuharibika.
Tusubiri zamu yetu ifike ili tugawane mbao hakuna namna
 

Huwezi tenganisha vita ya Congo na Ukabila.
Ukabila hapo ndio chambo cha hiyo vita.
Hoja za M23 unazijua?
 
Huwezi tenganisha vita ya Congo na Ukabila.
Ukabila hapo ndio chambo cha hiyo vita.
Hoja za M23 unazijua?
Mkuu taja hizo hoja za M23 zinazohusu ukabila ambazo zimefanya kabila moja kuunda Jeshi lenye nguvu na kuijambisha Serikali na Jeshi mpaka kusema kanda ya Ziwa nayo itafanya km hivyo yaan itaunda Jeshi lao lipambane na Jeshi la CCM, nitajie walau 5 au 10 hoja za kikabila za M23
 
Ugawane mbao na nani wewe huna Jeshi kaa hapo CCM na Jeshi lake ikuendeshee Nchi inavyotaka yenyewe
 
Duuh kwamba hiyo kanda ni wakabil?
 
Wacongo pia walisemaga hivyo hivyo wasubiri ifike zamu ya mtu aibe asepe. Matokeo yake ndo tunayoyaona leo hii. Congo ni pango la wanyang'anyi.
 
Yakija kutimia. Huu uzi utafufuliwa. Tuombe uhai.
Hakuna kitakachotimia acheni kuota mchana fanyeni shughuli zingine sio mnakaa kuota ujinga ujinga wenu eti nini Congo na Tanzania kua nini kufanya nini hivi nyinyi mnaoota mchana mtaacha lini hizo ndoto zenu zisizo na mbele wala nyuma
 
Hakuna kitakachotimia acheni kuota mchana fanyeni shughuli zingine sio mnakaa kuota ujinga ujinga wenu eti nini Congo na Tanzania kua nini kufanya nini hivi nyinyi mnaoota mchana mtaacha lini hizo ndoto zenu zisizo na mbele wala nyuma
Hakuna kitakachotimia acheni kuota mchana fanyeni shughuli zingine sio mnakaa kuota ujinga ujinga wenu eti nini Congo na Tanzania kua nini kufanya nini hivi nyinyi mnaoota mchana mtaacha lini hizo ndoto zenu zisizo na mbele wala nyuma
Acha tuendelee kuota. Uzuri JF ni kisima cha kumbukumbu.

uzuri pia tumetofautiana kutokana na viwapa tulivyopewa na Mungu.

Muda utaongea. Endelea na uchawa.
 
Muda utaongea. Hivi sio vitisho, huu ni ukweli unaoishi.
Hakuna ukweli wowote punguza kuota mchana nimekwambia wale wanaofanya vile Congo ni Jeshi sio raia wa kawaida, jua kutofautisha usiongee vitu km umekatwa kichwa, umeona wale raia walioanzisha vurugu kule Congo kuvamia watu na kuwaletea vurugu kuwapiga mapanga raia zaidi ya 200 km sijakosea walichofanywa umeona wamewafanyaje na Serikali ya Congo km kweli unafuatilia masuala ya Congo ila hilo hilo Jeshi la Congo na Serikali yake Jeshi la M23 linawafanyaje linawajambisha si ndio? Sasa wewe endelea kuota mchana kesho leo kesho kutwa shiba ugali wako na mlenda hapo nyumbani kwako lala ndani kwako usipambane na CCM
 
Acha tuendelee kuota. Uzuri JF ni kisima cha kumbukumbu.

uzuri pia tumetofautiana kutokana na viwapa tulivyopewa na Mungu.

Muda utaongea. Endelea na uchawa.
Unaota mchana ndio mkuu punguza kuota mchana Congo sio Tanzania na haitokuja kua na haitotokea kamwe hilo sahau kabisa tena futa kwenye akili yako
 
Unaota mchana ndio mkuu punguza kuota mchana Congo sio Tanzania na haitokuja kua na haitotokea kamwe hilo sahau kabisa tena futa kwenye akili yako
Muda utaongea. Mungu atupe uhai
 

Kwa uelewa wako kwa nini Rwanda wanahusishwa na huo mgogoro na sio Tanzania, Burundi, Angola?
 
Uzushi mtupu

Unasahau muasisi wa taifa Mwl Nyerere ndiye muasisi wa ccm

Short memories
 
Endeleza uchawa ndugu. Tutakumbushana
 
Mzeee naaona Leo unapata posho simba🦁

Si kwa hicho kibess ulicho mchimba JAMAA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…