Alivyoifanya Mobutu Congo DR ndio wanavyoifanya CCM Tanzania. Ni suala la muda tu Tanzania itakuwa kama Congo

Alivyoifanya Mobutu Congo DR ndio wanavyoifanya CCM Tanzania. Ni suala la muda tu Tanzania itakuwa kama Congo

Hakuna maono hapo wana Jeshi gani hao kanda ya Ziwa linaloweza kufanya km M23?


Eeeh!
Nishakuambia Jeshi ni Watu

Labda ungeuliza kwa nini wajitenge au watake nchi kupasuka ndio lingekuwa swali la msingi.
Lakini kuhusu kuunda Jeshi sio hoja
 
Mzeee naaona Leo unapata posho simba🦁

Si kwa hicho kibess ulicho mchimba JAMAA.
Sio kibess mkuu nimemwambia ukweli ulio wazi, Congo machafuko hayahusishi raia wa kawaida ni Jeshi lile hapo tu ndipo mleta mada alipokosea kwenye uwasilishaji wake sasa Jeshi na raia wa kawaida kuna utofauti ndio maana wale wanaoenda kusaidia kule ni Jeshi la Nchi za Jumuiya ya SADC sio raia wa kawaida wa Jumuiya ya SADC sababu wanaenda kulinda amani wale wanaojambisha kule ni Jeshi sio raia wa kawaida, sijui unaelewa hapo kabla hujasema km umekatolewa kichwa chako
 
Vijana wa kusifu na kuabdu kama akina Lucas hawawezi wakakuelewa wamepigwa upofu wa kutawala milele na milele hata kufa hawakujui.
 
Mzee Warioba hivi karibuni alionya kuwa taasisi pekee iliyobaki na heshima ambayo haijajichanganya na siasa za Ki- CCM ni JWTZ, alisema polisi na Tume ya Uchaguzi wanaifanyia kazi CCM. Hakuna aliyebisha wala kushituka. Mungu aturehemu.

Vv
Hivi kumbe wewe mpaka leo haujui kwamba Jeshi ni la CCM? Bado unaota mchana?
 
Huwezi kuelewa...we endelea kukata mauno cheza kadansee tu

Ova
Kuelewa nini? Unataka kusema wale M23 ni raia wa kawaida tu walioichoka Serikali na walioingia mstuni na kuanza kuleta fujo na machafuko kwa Serikali ya Congo sio watu wenye mafunzo ya kijeshi hata kidogo? Sasa km ndio hivyo mboni imekua vile wakati raia wa kawaida wasio na mafunzo ya kijeshi wakitumiwa Jeshi wanakamatwa km kuku wa kisasa alieshiba pumba zake na mashudu ndani ya banda?
 
Endeleza uchawa ndugu. Tutakumbushana
Utamkumbusha nani mkuu wewe kula Mihogo yako hapo shushia na maji ya kandoro kisha endelea na shughuli zako zingine huna cha kuelezea chenye mashiko zaidi ya ndoto za mchana
 
Kuelewa nini? Unataka kusema wale M23 ni raia wa kawaida tu walioichoka Serikali na walioingia mstuni na kuanza kuleta fujo na machafuko kwa Serikali ya Congo sio watu wenye mafunzo ya kijeshi hata kidogo? Sasa km ndio hivyo mboni imekua vile wakati raia wa kawaida wasio na mafunzo ya kijeshi wakitumiwa Jeshi wanakamatwa km kuku wa kisasa alieshiba pumba zake na mashudu ndani ya banda?
Wewe mtoto mdogo sana mada imekuzidi uwezo hii. Piga kimya tu acha kushupaza shingo.
 
Mzee Warioba hivi karibuni alionya kuwa taasisi pekee iliyobaki na heshima ambayo haijajichanganya na siasa za Ki- CCM ni JWTZ, alisema polisi na Tume ya Uchaguzi wanaifanyia kazi CCM. Hakuna aliyebisha wala kushituka. Mungu aturehemu.

Vv
Ndo mana hakuna kitu kama Watanzania wote tunapaswa kukipigania kwa umoja wetu na nguvu zote kama Katiba Mpya.
 
Kweli kabisa mkuu, historia ujirudia ndugu japo kivingine,yafaa tujifunze sana,hasa mabingwa wa historia walimulike hili kwa undani wataona jambo.
Hata akina chief mangungo walitokana na uchawa wa enzi hizo,hawaoni hajabu kuuza kipande cha aridhi kwa mgeni,!!,tujitafakari sana jamani.
 
Hicho unacho kitamani kitokee Tz hakiwezekani... Misingi ya siasa jamii na uchumi wa WaTz haufanani na nchi yoyote Africa, hivyo Tz inaendelea kubaki nchi bora ya kuigwa kwasababu ya misingi na falsafa thabiti inayojipambanua vzuri...
Nakubaliana na wewe mkuu,lkn jaribu kuiangalia tz yetu kwaumakini imeshatoka nje ya hio misingi unayoizungumzia.. Nchi yetu imekuwa ya wachache wenye maamuzi ya wapi tuelekee hatakama tunapelekwa shimoni...
 
Wewe mtoto mdogo sana mada imekuzidi uwezo hii. Piga kimya tu acha kushupaza shingo.
Mkuu nikwambie kitu kidogo tu kwanza heshima haiuzwi popote heshima haimbwi na heshima hupewa mtu bure haina gharama yoyote naweza nikawa mtoto mdogo sana ila nikakuzidi maarifa hapo tu ndipo tunapotofautiana kwa kiasi chake na uzuri ni kwamba ninachokwambia unakielewa vizuri sana ila unakwepa kutoa jibu linaibeba hoja yako, nimekuuliza Jeshi la kuiondoa CCM linatoka wapi ambalo litaifanya Tanzania kua km Congo? Km huna jibu sema sina jibu sio unakuja na majibu ya utoto mdogo mtoto mdogo ninaekuuliza maswali yanayokuumiza kichwa hivi unafikiri historia ya Mobutu unaijua peke yako na hao wenye hio Documentary yao uchwara?
 
Back
Top Bottom