Yamungu Athumani
JF-Expert Member
- Apr 23, 2016
- 1,384
- 3,254
Kale Ugali wa Dona UlaleBinafsi nasema vita hii haitachukua zaidi ya miezi 2 kuanzia sasa. Mrusi atapigiwa ugenini, atapigiwa na nyumbani.
Kuna watu wenye akili ili kulinda legacy zao za kimataifa watajipenyeza na kujichanganya na jeshi la Ukraine kisha kumchakaza Mrusi.
Hii vita itaisha kabla ya kuisha miezi 2 kuanzia leo na Mrusi atapigiwa.
Unabisha tuwekeane dau la laki 5.
Hahaha Mafuta utasikia Lita 5098TshJe unafahamu consequences ya hii vita unayoishabikia juu ya bara letu la giza?
Nakushauri hiyo laki 5, kama unamiliki 'kibabywoka' ungeisave kwa ajili ya 'wese'!
mkuu kwani vita vimeshaanza au ni vitisho tuu?Binafsi nasema vita hii haitachukua zaidi ya miezi 2 kuanzia sasa. Mrusi atapigiwa ugenini, atapigiwa na nyumbani.
Kuna watu wenye akili ili kulinda legacy zao za kimataifa watajipenyeza na kujichanganya na jeshi la Ukraine kisha kumchakaza Mrusi.
Hii vita itaisha kabla ya kuisha miezi 2 kuanzia leo na Mrusi atapigiwa.
Unabisha tuwekeane dau la laki 5.
(✔💪Russia and no goal)Binafsi nasema vita hii haitachukua zaidi ya miezi 2 kuanzia sasa. Mrusi atapigiwa ugenini, atapigiwa na nyumbani.
Kuna watu wenye akili ili kulinda legacy zao za kimataifa watajipenyeza na kujichanganya na jeshi la Ukraine kisha kumchakaza Mrusi.
Hii vita itaisha kabla ya kuisha miezi 2 kuanzia leo na Mrusi atapigiwa.
Unabisha tuwekeane dau la laki 5.
Vimeshaanza leomkuu kwani vita vimeshaanza au ni vitisho tuu?
Jiwe ni Mwendakuzimu yule.Jiwe Alichanganyikiwa Akasema Mungu Hoyee
Waarabu wote wanaweza wakawa na support lakini sio mu iranRussia yuko na Korea kaskazini, Uchina yote, nchi zote za Kiarabu,
hapo sasa piga hesabu.
Mtabe (Putin) said...For us it is not only a threat to our interests but to the very existence of our state & to its sovereignty...Huyu mdingi hashikiki..ameshakiwasha !!mkuu kwani vita vimeshaanza au ni vitisho tuu?
Je unafahamu consequences ya hii vita unayoishabikia juu ya bara letu la giza?
haha we jamaa banaMtabe (Putin) said...For us it is not only a threat to our interests but to the very existence of our state & to its sovereignty...Huyu mdingi hashikiki..ameshakiwasha !!
Inaonokana umazaliwa miaka ya tisini,huijui vzuri background ya Russia Na upande wa marekani Na nchi za ulayaBinafsi nasema vita hii haitachukua zaidi ya miezi 2 kuanzia sasa. Mrusi atapigiwa ugenini, atapigiwa na nyumbani.
Kuna watu wenye akili ili kulinda legacy zao za kimataifa watajipenyeza na kujichanganya na jeshi la Ukraine kisha kumchakaza Mrusi.
Hii vita itaisha kabla ya kuisha miezi 2 kuanzia leo na Mrusi atapigiwa.
Unabisha tuwekeane dau la laki 5.
sasa kama target yake ni USA je! Rusia ana jeuri ya kumpiga super power?Nyuma Ya Urusi yupo Mchina!
Chinabya sasa Ni Nomaaa zaidibYa Marekani na Nchi zote unazozijua…
Urusi ana Hasira,Na Target yake sio Ukraine ni Marekani.
Binafsi nasema vita hii haitachukua zaidi ya miezi 2 kuanzia sasa. Mrusi atapigiwa ugenini, atapigiwa na nyumbani.
Kuna watu wenye akili ili kulinda legacy zao za kimataifa watajipenyeza na kujichanganya na jeshi la Ukraine kisha kumchakaza Mrusi.
Hii vita itaisha kabla ya kuisha miezi 2 kuanzia leo na Mrusi atapigiwa.
Unabisha tuwekeane dau la laki 5.
hata kamanrussia akiwa na hizo nchi atakaa tu, ukraine yupo na USA, UFARANSA, UINGEREZA, ISRAEL KWA MBAAAAAL , CANADARussia yuko na Korea kaskazini, Uchina yote, nchi zote za Kiarabu,
hapo sasa piga hesabu.
Mkuu acha kuatazama movie za kivita za kimarekani!sasa kama target yake ni USA je! Rusia ana jeuri ya kumpiga super power?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ili akijaze wese kiweze mfikisha mahala salamaJe unafahamu consequences ya hii vita unayoishabikia juu ya bara letu la giza?
Nakushauri hiyo laki 5, kama unamiliki 'kibabywoka' ungeisave kwa ajili ya 'wese'!