UN ni wezi tuKulinda amani ni mission za UN, usiandike kitu usichokijuwa kama umekunywa mataputapu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UN ni wezi tuKulinda amani ni mission za UN, usiandike kitu usichokijuwa kama umekunywa mataputapu.
Kila mtu duniani alikuwa Russia yupo superior kijeshi vita Putin imemshinda hajampata Zellensky.Zellensky juzi amemcheka Putin akamwambia Mimi Nipo hapa akamwonyesha mpaka Armani mtaa na nyumba mrusi hakuweza kum target kwa sababu hana kifaa hichoUmepatia kuwa vita haitafika miezi miwili, bali hata mwezi hauwezi fika maana Putin anachapa tu anapotaka kama vile nchi haina mwenyewe. Na hiyo ni kutokana na kuwa Ukraine hawana ubavu wa kusimama na Russia.
Kwa upande wa pili umekosea mno kudhani Putin atashindwa vita hii.
Btw: sibeti.
View attachment 2130044
![]()
Russia invades Ukraine and advances on Kyiv – as it happened
US secretary of state says Russia plans widespread human rights abuses; Ukrainian spokesman condemns ‘totally pointless attack’www.theguardian.com
marekani ilimpata saddam baada ya muda gani?Kila mtu duniani alikuwa Russia yupo superior kijeshi vita Putin imemshinda hajampata Zellensky.Zellensky juzi amemcheka Putin akamwambia Mimi Nipo hapa akamwonyesha mpaka Armani mtaa na nyumba mrusi hakuweza kum target kwa sababu hana kifaa hicho
Therefore?UN ni wezi tu
Ukraine imejaa maandaki tupu. Lazima ana option ya escape way underground mambo yakiharibika kabisa na serikali yake kuangushwa.marekani ilimpata saddam baada ya muda gani?
Mtoa mada eti leo ni tarehe ngapi nakuuliza tu?Binafsi nasema vita hii haitachukua zaidi ya miezi 2 kuanzia sasa. Mrusi atapigiwa ugenini, atapigiwa na nyumbani.
Kuna watu wenye akili ili kulinda legacy zao za kimataifa watajipenyeza na kujichanganya na jeshi la Ukraine kisha kumchakaza Mrusi.
Hii vita itaisha kabla ya kuisha miezi 2 kuanzia leo na Mrusi atapigiwa.
Unabisha tuwekeane dau la laki 5.
Huyo ni miongoni mwa waliokatwa magovi kwa hisani ya USAInaonokana umazaliwa miaka ya tisini,huijui vzuri background ya Russia Na upande wa marekani Na nchi za ulaya
Bado inaendelea kutwaliwa kifikraKulinda amani ni mission za UN, usiandike kitu usichokijuwa kama umekunywa mataputapu.
Upo wapi kesho tukandikishane kabisa maana nafanya kazi ngumu wakati ela nyepesi ipo tuBinafsi nasema vita hii haitachukua zaidi ya miezi 2 kuanzia sasa. Mrusi atapigiwa ugenini, atapigiwa na nyumbani.
Kuna watu wenye akili ili kulinda legacy zao za kimataifa watajipenyeza na kujichanganya na jeshi la Ukraine kisha kumchakaza Mrusi.
Hii vita itaisha kabla ya kuisha miezi 2 kuanzia leo na Mrusi atapigiwa.
Unabisha tuwekeane dau la laki 5.
Kwahiyo mchezo tunachezewa Waaafrika pekee au na Wazungu wanachezeana huu mchezo?Hakuna vita pale tunachezewa akili tu na wazungu waanze kutupandishia vitu maana huko kwao waliathirika sana kibiashara na COVID sasa ndo wanakuja na gia za kupigana
Yupo sahihi kwa nukuu ya Putin kuwa si vita bali operation ya kijeshi, ila kwa ulimwengu tunajua ni uhalifu wa kivita maana vifo ni vingi na mbaya zaidi kwa watoto,mwamama, wagojwa, n.k. Huo si mchezo wa kiuchumi Hilo nitatizo la ulimwengu woteKwahiyo mchezo tunachezewa Waaafrika pekee au na Wazungu wanachezeana huu mchezo?
Ulikuwepo au we ndo mke wa BidenJuzi biden kampigia sim mwanamfalme saudia hajapojea sim yake eti we unasema ni pete na kidole, saiv anahaha kupatana na mataifa alikuwa ameyawekea vikwazo km venezuela na iran, lala usingizi wa pono dadaeee