F35-Bomber
JF-Expert Member
- Mar 18, 2017
- 1,345
- 1,069
Hii vita Haina msindi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
,inapigwa pale,rais wa Ukraine anatoa idadi tu ili wapatiwe huruma majeshi EU yasonge.Vimeshaanza leo
Nimegundua nchi zote zenye kelele kitisho chao kikubwa ni nyuklia ajabu hao wanaotishwa nao wana nyuklia yaani ni mkwara kama wa teja hivi kisa ana bisibisi na kisu mfukoni mwake.Binafsi nasema vita hii haitachukua zaidi ya miezi 2 kuanzia sasa. Mrusi atapigiwa ugenini, atapigiwa na nyumbani.
Kuna watu wenye akili ili kulinda legacy zao za kimataifa watajipenyeza na kujichanganya na jeshi la Ukraine kisha kumchakaza Mrusi.
Hii vita itaisha kabla ya kuisha miezi 2 kuanzia leo na Mrusi atapigiwa.
Unabisha tuwekeane dau la laki 5.
NATO wameshaingia ukren na vikosi vyao tayariHizo porojo haziwezi kusaidiwa chochote,
Kama NATO wanajiamini wapeleke vikosi kumsaidia UKRAINE.
Uwanja wa mapambano uko wazi, Putin keshasema atakayeingilia atakutana na kichapo.
Vinginevyo NATO wote waoga TU, hamna kitu mule.
Ndo maana hata hawataki kupokea Simu za Zelensky [emoji4]
Kuna nchi duniani inaizidi vikwazo Cuba???North Korea anavikwazo zaidi ya mwaka 60 Sasa, na Maisha bado yanasonga.
Na Hakuna kenge anaweza kuthubutu kurusha hata sindano kwenye ardhi ya north Korea.
Wanazijua vema akili za kiduku zilivyo fyatu, ukirusha risasi yeye anarusha nyuklia anakutekeza yanabaki majivu[emoji4]
Akili nyingi wewe jamaaNa hapa ndipo anapokosea. Marekani atachochea vitaa, atainadi Ukraine isaidiwe, atashinikiza Russia iwekewe vikwazo ila anaweza asipigane.
Kama anamtaka kweli mmarekani amtandike asisubiri sababu kutoka Marekani.
Nchi gani za kiarabu???Russia yuko na Korea kaskazini, Uchina yote, nchi zote za Kiarabu,
hapo sasa piga hesabu.
Umesindika mwenyewe ?[emoji1][emoji2][emoji3] Nakunywa Hii Wakati Huu Wa Vita View attachment 2130031View attachment 2130032View attachment 2130032
Juzi biden kampigia sim mwanamfalme saudia hajapojea sim yake eti we unasema ni pete na kidole, saiv anahaha kupatana na mataifa alikuwa ameyawekea vikwazo km venezuela na iran, lala usingizi wa pono dadaeeeNchi gani za kiarabu???
Marekani na waarabu ni Pete na kidole
Huu ndio utumwa wa fikra nilitarajia Kuna nchi ya afrika itatangaza kwenda kulinda amaniHivi umoja wa Africa AU hauwezi toa neno lolote kuhusu Urusi na Ukraine ?
Kulinda amani ni mission za UN, usiandike kitu usichokijuwa kama umekunywa mataputapu.Huu ndio utumwa wa fikra nilitarajia Kuna nchi ya afrika itatangaza kwenda kulinda amani
Your 100 percent right .Na Putin atapelekwa mahakamani ( war crimes ).Target yake alikuwa Zellensky Kwa hiyo mrusi hana kifaa cha ku target nyumba ya Zellensky matokeo yake Putin ameharibu ukraine .Binafsi nasema vita hii haitachukua zaidi ya miezi 2 kuanzia sasa. Mrusi atapigiwa ugenini, atapigiwa na nyumbani.
Kuna watu wenye akili ili kulinda legacy zao za kimataifa watajipenyeza na kujichanganya na jeshi la Ukraine kisha kumchakaza Mrusi.
Hii vita itaisha kabla ya kuisha miezi 2 kuanzia leo na Mrusi atapigiwa.
Unabisha tuwekeane dau la laki 5.