Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 9,968
- 16,680
Mafuta yamepanda kwenye soko la dunia sasa Hiyo hela si bora uweke akiba hali ikiwa mbaya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bei Ya Chama Na Serikali Ambayo Tshs 30000/=Sh.ngapi?
😄😃😀 Tupo Vitani Sasa Hivi Ukraine vs UrusiTukiachana na avatar, komenti zako nazo zinaonyesha kabisa kwamba we ni mtamu!
putin anachimba mkwara tu lakini hakuna vita yoyote itakayotokeaUpo dunia ya wapi?
Nyuma ya Marekani kuna Israel😂Nyuma Ya Urusi yupo Mchina!
Chinabya sasa Ni Nomaaa zaidi ya Marekani na Nchi zote unazozijua…
Urusi ana Hasira. Na Target yake sio Ukraine ni Marekani.
Hii inayaotokea sio vita?putin anachimba mkwara tu lakini hakuna vita yoyote itakayotokea
ikumbuke hii comment
Warus watashangaa hawa jamaa mbona wanarusha makombora ya hatar.. kumbe bwana mkubwa mmarekan anapenyeza yakeBinafsi nasema vita hii haitachukua zaidi ya miezi 2 kuanzia sasa. Mrusi atapigiwa ugenini, atapigiwa na nyumbani.
Kuna watu wenye akili ili kulinda legacy zao za kimataifa watajipenyeza na kujichanganya na jeshi la Ukraine kisha kumchakaza Mrusi.
Hii vita itaisha kabla ya kuisha miezi 2 kuanzia leo na Mrusi atapigiwa.
Unabisha tuwekeane dau la laki 5.
Ila mnajiongopea sana, raisi wa Ukraine Sasa hivi analia haamini kasalitiwa.Warus watashangaa hawa jamaa mbona wanarusha makombora ya hatar.. kumbe bwana mkubwa mmarekan anapenyeza yake
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji14]Binafsi nasema vita hii haitachukua zaidi ya miezi 2 kuanzia sasa. Mrusi atapigiwa ugenini, atapigiwa na nyumbani.
Kuna watu wenye akili ili kulinda legacy zao za kimataifa watajipenyeza na kujichanganya na jeshi la Ukraine kisha kumchakaza Mrusi.
Hii vita itaisha kabla ya kuisha miezi 2 kuanzia leo na Mrusi atapigiwa.
Unabisha tuwekeane dau la laki 5.
Wewe mjinga sana naona hata hiyo Urusi na Ukraine hata huzijui hata kwenye map pia hujuiBinafsi nasema vita hii haitachukua zaidi ya miezi 2 kuanzia sasa. Mrusi atapigiwa ugenini, atapigiwa na nyumbani.
Kuna watu wenye akili ili kulinda legacy zao za kimataifa watajipenyeza na kujichanganya na jeshi la Ukraine kisha kumchakaza Mrusi.
Hii vita itaisha kabla ya kuisha miezi 2 kuanzia leo na Mrusi atapigiwa.
Unabisha tuwekeane dau la laki 5.
we jamaa bana , watu wanakufa uko unaleta ujuaji kweliau wewe ukiona mapicha ya vifaru na wanajeshi wameshika mitutu ndio unasema vita
Masikini ukraine anatumika tu kama chamboNyuma Ya Urusi yupo Mchina!
Chinabya sasa Ni Nomaaa zaidi ya Marekani na Nchi zote unazozijua…
Urusi ana Hasira. Na Target yake sio Ukraine ni Marekani.
Hamna Kiongozi ambae hajafanya MAKOSA. Putin nae ni binadamu. Madikteta wengi walifanya makosa hayohayo ya kujiamini.Watu mna porojo humu.
Mpka Putin anaingia vitan mnadhan hakujua kua atawekewa vikwazo?
Msela kajipanga hzo vikwazo alijua vitatokea.. sindo michezo ya USA na wenzake.
Huyu Jasus Putin hamna kitu hajui hesabu zake anazijua mwenyewe.
Wapumbavu hawataki watu wasanuke wanataka waendelee kufanana ndio maana upumbavu unakuwa mwingi TanzaniaBongo stress nyingi ndo maana kila kukicha watu wanabuni upumbavu na upumbavu unashabikiwa haswa.
Kweli kabisa maana nguvu na jitihada inayotumika kushabikia upumbavu bongo ingekuwa inatumika kwenye mambo ya msingi hata viongozi wangeogopa kufanya madudu na upigaji lkn wanajipigia maadili haramu wakijua hakuna wa kuwafuatilia kisawa sawa na kuwapa hofi , wanajua raia wako bizee na ;Wapumbavu hawataki watu wasanuke wanataka waendelee kufanana ndio maana upumbavu unakuwa mwingi Tanzania
Vijana watanzania ambao ndio idadi kubwa ya watu waliomo Tanzania ukiwaamasisha wachukue hatua wanaanza kujipotosha wenyewe kabla hata ya adui hajaja, NGUVU kubwa wameweka kushabikia ujinga na kutegemea wanasiasa ambao wanawategemea wao wenyeweKweli kabisa maana nguvu na jitihada inayotumika kushabikia upumbavu bongo ingekuwa inatumika kwenye mambo ya msingi hata viongozi wangeogopa kufanya madudu na upigaji lkn wanajipigia maadili haramu wakijua hakuna wa kuwafuatilia kisawa sawa na kuwapa hofi , wanajua raia wako bizee na ;
#Kubeti#SimbaNaYanga#Miziki#Connection
Kiasi cha kupumbazika kabisa ukiongezea umasikini na elimu duni
basi wana relax tu.