Aliye tayari tuwekeane dau katika vita ya UKRAINE na URUSI

Aliye tayari tuwekeane dau katika vita ya UKRAINE na URUSI

Kakoje ulale vita ishaisha tayari pimbi wewe

Endelea kuota
IMG-20220225-WA0124.jpg
IMG-20220225-WA0118.jpg
 
Sad.

Hivi vita ina mshindi kweli? Unadhani hii ni God of War?
 
sasa kama target yake ni USA je! Rusia ana jeuri ya kumpiga super power?

China anahitaji Kuwa Super Power na Kupitia Russia ili USA uchumi yimbe China Apae lolote linawwza tokea Kaka…Ingawa hata Russia ni Super Power Kiuchumi,Ndio Maana wote wapo G-20.Kumbuka Russia ana Machungu ya Kusambarishwa In 1990s Sovieti Union na Ubepari Nchi za Magharibi.
 
Mrusi ataghairi, kilichopo ni kwamba anafanya Ukraine iwe battle ground.

Ndio mana anawaambia wa Ukraine wakae mbali hiyo vita Mrusi ameanzisha makusudi Ukraine ni chambo tu.

Nchi zote za Ulaya zina malalamiko kuhusu kuwaingilia kijasusi, kwa U-boat na ndege zake.

Kashavuruga sana huko ndo mana hawamtaki NATO wala EU.
Atapigwa vizuri tu, na watamrudisha mpaka Moscow na watampangia cha kufanya.

Europa nzima wako na Marekani,na UK.
Sahii KABISA, wengi hawajafikiria hili
 
Kuna kitu kinaitwa alliance ukikijua utaelewa kwamba Russia Ana uwezo wa kumpiga US na akanyamaza (kwenye vita lazima uwe na jicho la ziada maana nyuma ya urusi kuna nchi kubwa na zenye uwezo mkubwa kivita zinazoweza kumsaidia). Japo marekani miaka hii amekataa kujihusisha na vita vya nje ya marekani kwakuwa imegharimu sana nchi yake na wapiga kura hawataki tena huo ujinga. Hata bajeti ya issue za military imepungua kwenye bajeti yake. Anachoweza ni kupiga kelele nyingiii lakini kupeleka troops Nei.
Sahii KABISA[emoji4]
 
Kweli kabisa
Aingie vitani kwa vita isiyomhusu aharibu pesa za walipa kodi uchaguzi ujao sanduku la Kura litaamua.
Yeye nenda ukaguse Taiwan na majirani zake utamuona vitani.
Huu mjadala wa yeye kupunguza bajeti za vita umejadiliwa sana kwenye debates za NATO hasa kwenye maswala ya security ya ulaya.
Hili ndilo lililomtoa haraka madarakani Trump kupenda penda Shari hovyo na kuyumbisha uchumi wa us
 
Kama unafwatilia literature za uropean and global security ni muda sana tangu aanze kujitoa kwenye vita za hasara. Wenzake wa NATO hasa nchi za upande wa EU wanalalamika kwamba bajet ya US kwenye ulinzi na issue za NaTO imepungua na hii ni hatari kwa ulinzi wa ulaya na future ya NATO hasa kipindi hiki cha issue za ugaidi. Hata ile vita ya Syria (kama sijachanganya) US hakujichosha.
Uchambuz mzur Sana, uko deep Sana[emoji4][emoji106]
 
Vita hii ndio inaenda kuhitimisha mwisho wa enzi ya Putin.

Putin ameingia kwenye 18 za NATO,Israel na USA na walitafuta sana fursa hii,Putin kafanya kosa sana la kimkakati maana Putin hana record nzuri ya ustaarabu.

Putin ni mshirika wa makundi adui kwa Israel,amejichimbia kaburi la mwisho wake.
Hizo porojo haziwezi kusaidiwa chochote,
Kama NATO wanajiamini wapeleke vikosi kumsaidia UKRAINE.

Uwanja wa mapambano uko wazi, Putin keshasema atakayeingilia atakutana na kichapo.


Vinginevyo NATO wote waoga TU, hamna kitu mule.

Ndo maana hata hawataki kupokea Simu za Zelensky [emoji4]
 
Vita ya Georgia 2008 NATO walijichomeka upande wa GEORGIA akawagonga wote. Mwaka 2014 wakajipenyeza Kule Crimea akawachapa vilevile. Haiwezekani adui yako akawa anamjazia jirani yako misiraha mizitomizito afu wewe ubaki kuangalia tu kama boya Fulani.. URUSI siyo Venezuela, pia vilevile URUSI siyo Libya au Afghanistan. URUSI ukimnyooshea kidole anakikata
Sahii KABISA,
Nmeipenda falsafa ya Putin.

Hataki unyonge KABISA[emoji4][emoji106]
 
Watu mna porojo humu.
Mpka Putin anaingia vitan mnadhan hakujua kua atawekewa vikwazo?

Msela kajipanga hzo vikwazo alijua vitatokea.. sindo michezo ya USA na wenzake.

Huyu Jasus Putin hamna kitu hajui hesabu zake anazijua mwenyewe.
North Korea anavikwazo zaidi ya mwaka 60 Sasa, na Maisha bado yanasonga.

Na Hakuna kenge anaweza kuthubutu kurusha hata sindano kwenye ardhi ya north Korea.

Wanazijua vema akili za kiduku zilivyo fyatu, ukirusha risasi yeye anarusha nyuklia anakutekeza yanabaki majivu[emoji4]
 
Mrusi ataghairi, kilichopo ni kwamba anafanya Ukraine iwe battle ground.

Ndio mana anawaambia wa Ukraine wakae mbali hiyo vita Mrusi ameanzisha makusudi Ukraine ni chambo tu.

Nchi zote za Ulaya zina malalamiko kuhusu kuwaingilia kijasusi, kwa U-boat na ndege zake.

Kashavuruga sana huko ndo mana hawamtaki NATO wala EU.
Atapigwa vizuri tu, na watamrudisha mpaka Moscow na watampangia cha kufanya.

Europa nzima wako na Marekani,na UK.
Vladmir Putin amesema isijitokeze nchi yoyote kuisaidia Ukraine, atafanya kitu ambacho dunia haijawahi kushuhudia, na ametishia kutumia nuclear ikibidi, anasema haoni umuhimu wa dunia kuwepo bila Urusi.
 
Binafsi nasema vita hii haitachukua zaidi ya miezi 2 kuanzia sasa. Mrusi atapigiwa ugenini, atapigiwa na nyumbani.

Kuna watu wenye akili ili kulinda legacy zao za kimataifa watajipenyeza na kujichanganya na jeshi la Ukraine kisha kumchakaza Mrusi.

Hii vita itaisha kabla ya kuisha miezi 2 kuanzia leo na Mrusi atapigiwa.
Unabisha tuwekeane dau la laki 5.
Wekeza akili kwenye maendeleo yako baya uko wako sogo
 
Vladmir Putin amesema isijitokeze nchi yoyote kuisaidia Ukraine, atafanya kitu ambacho dunia haijawahi kushuhudia, na ametishia kutumia nuclear ikibidi, anasema haoni umuhimu wa dunia kuwepo bila Urusi.
Safi sana mm binafsi namuunga mkono 100% japo sina hakika kama comment yako ataiyona hizi nchi za Magharibi zikiongozwa na Marekan wanafki sana hawafai hata bure
 
Russia yuko na Korea kaskazini, Uchina yote, nchi zote za Kiarabu,
hapo sasa piga hesabu.
Mchina huyu anayeuwaza uchumi wake uwe imara mara dufu simuoni akiingilia huo ujinga.labda apigane vita kwa mdomo.Mwisho wa hii vita atakayepoteza ni mrusi kua maskini.Na hii sio mara ya kwanza mrusi kuanguka uku wenzake wakimchezea akili.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Vladmir Putin amesema isijitokeze nchi yoyote kuisaidia Ukraine, atafanya kitu ambacho dunia haijawahi kushuhudia, na ametishia kutumia nuclear ikibidi, anasema haoni umuhimu wa dunia kuwepo bila Urusi.
Mrusi anajua ukreine haiko Nato kwahiyo hizo nchi zikitaka kuingilia lazima ziwe na njia mbadala.Ukreine ingekua imeshajiunga Nato kamwe asingeongea hiyo kauli.Maana ata kama ni kutumia nuclear itakua nayeye anataka kufariki.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom