Aliye tayari tuwekeane dau katika vita ya UKRAINE na URUSI

Aliye tayari tuwekeane dau katika vita ya UKRAINE na URUSI

images (12).jpeg
 
Binafsi nasema vita hii haitachukua zaidi ya miezi 2 kuanzia sasa. Mrusi atapigiwa ugenini, atapigiwa na nyumbani.
Kuna watu wenye akili ili kulinda legacy zao za kimataifa watajipenyeza na kujichanganya na jeshi la Ukraine kisha kumchakaza Mrusi.
Hii vita itaisha kabla ya kuisha miezi 2 kuanzia leo na Mrusi atapigiwa.
Unabisha tuwekeane dau la laki 5.
Kama unafatilia taarifa ya habari ukraine imeishatekwa yote kwa siku moja tu ya leo.kwa taarifa yako wanajeshi na intelenjensia ya ukraine ni warusi watupu.
 
Mkuu acha kuatazama movie za kivita za kimarekani!

Mchina (mshkaji wa Putin)kampiga USA na biological weapons ( ka' covid19) akapoteana, conspiracy walikuwa wanamuandaa 'kisaikolojia'! Wait and see, anapigwa mande huyo mzungu!
hana uwezo wa kuibiga USA kiongozi, ile ndio umoja wa mataifa wenyewe kaka
 
Nyuma Ya Urusi yupo Mchina!
Chinabya sasa Ni Nomaaa zaidibYa Marekani na Nchi zote unazozijua…
Urusi ana Hasira,Na Target yake sio Ukraine ni Marekani.
  • Mchina atamfanya Nini mmarekani?
  • Donald Trump aliongeza ushuru kwa bidhaa za China, fasta Xi Jinping akaenda kukaa mezani na Trump
  • Marekani iliwaambia China ipunguze manunuzi ya Makaa ya mawe kutoka Korea kaskazini China ikakubali
  • hapo nchi zote Bajeti zao za Jeshi Ni kidogo Sana, hivyo hawawezi kwenda vitani kwa nuda mrefu wataishiwa tu na fedha
 
Kama unafatilia taarifa ya habari ukraine imeishatekwa yote kwa siku moja tu ya leo.kwa taarifa yako wanajeshi na intelenjensia ya ukraine ni warusi watupu.
Huu Ni uongo kusema wanajeshi na intelligence wa Ukraine Ni warusi watupu huo Ni uongo.
 
Mkuu acha kuatazama movie za kivita za kimarekani!

Mchina (mshkaji wa Putin)kampiga USA na biological weapons ( ka' covid19) akapoteana, conspiracy walikuwa wanamuandaa 'kisaikolojia'! Wait and see, anapigwa mande huyo mzungu!
amguse aone moto wake, USA ni sawa na kiongozi wetu mmoja wa kisiasa hapa bongo aliyewahi kuwa mgombea nafas ya urais

anakauli yake moja inasema " NIGUSE NINUKE"
 
Kama unafatilia taarifa ya habari ukraine imeishatekwa yote kwa siku moja tu ya leo.kwa taarifa yako wanajeshi na intelenjensia ya ukraine ni warusi watupu.
Upo sahihi. Na russia inashinda vita vya mabunduki na mabomu huku ikiwa na mavikwazo makubwa makubwa na adui yake marekani hana vita zaidi ya kuchochea ukrain wajilinde ili waendelee kupata sababu ya kuwatenga russia na dunia kupitia kifedha na kiuchumi.
 
Unaijua urusi vizuri lakini au unaisikia kiduku na Putin ndio kiboko ya marekani kwanza ukiwa shoga ruhusa kunyongwa hao marekani marinda hawana watawaweza urusi.
kiongozi! Russia hawa uwezo wa kumpiga USA nakwambia
 
Mrusi ataghairi,kilichopo ni kwamba anafanya Ukraine iwe battle ground.
Ndio mana anawaambia wa Ukraine wakae mbali.hiyo vita Mrusi ameanzisha makusudi Ukraine ni chambo tu .
Nchi zote za Ulaya zina malalamiko kuhusu kuwaingilia kijasusi,kwa U-boat na ndege zake.
Kashavuruga sana huko ndo mana hawamtaki NATO wala EU.
Atapigwa vizuri tu,na watamrudisha mpaka Moscow na watampangia cha kufanya.
Europa nzima wako na Marekani,na UK.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaani mnapigwa mnakalia maneno tu vitendo 0 mwanaume yeye haongei anapiga tu pia amewakaribisha muingie uwanjani mmekalia maneno ya mkosaji
 
Jiwe Alichanganyikiwa Akasema Mungu Hoyee
Hahahaha hahahaha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daaah we jamaa unamchukia sana jiwe aise
Mara umuite mzilamkende,jiwe,chuma,buludoza,
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaani mnapigwa mnakalia maneno tu vitendo 0 mwanaume yeye haongei anapiga tu pia amewakaribisha muingie uwanjani mmekalia maneno ya mkosaji
Embu washa aljazeer au any international news halafu utaelewa anachofanya marekani na washirika wake.

Nimemsikiliza w/mkuu wa uingereza live, nimemsikiliza bidden live. Hawa jamaa hawana nia ya kupigana na russia, nia yao ni kuchochea halafu wamuumize kiuchumi. Hawana cha kupoteza ukrain ikipigwa.

Weshampa mavikwazo.

Wamezuia reserve zake zilizo ulaya na marekani, wamemwekea limits kwenye matumizi ya Yen, Dolla Paund n.k bado huoni tu nia ya hawa jamaa si vita?

Wapo kwao huko na rimont na keyboard huku russia akiwa uwanjani anaumiza uchumi wake😂
 
Back
Top Bottom