Aisee ivi kumbe na nyie wa kariakoo ni mateso mimi nilijua ni sisi wa posta tuKuanzia leo nitaenda K,koo na Mwendokasi ila nitarudi na Bajaj.
Sio kwa mateso ya leo. Nimeingia stand saa 11 jioni ila nimepanda gari saa moja tena kwa kurukia gari kama chui anaemdaka nyumbu
Customer care mbovu. Hivi nani animiliki maradi ule? Maana unaendeshwa kiholela sana.Wamekuwa ni vibaka ukifika wao ndo wanakuomba change
Sijawahi ona huduma ya kipuuzi kama hii
Wote tutakufa bro; hizo kejeri za kifo siwezi kuzifanya. Wewe na mimi siku moja tutamfuata huko aliko ila yeye hawezi kuja kwetu tenaOk,mbebe gwajima mkamfufuwe
Ok,now Rais ni Samia,marehemu hana msaada tena kwasasaWote tutakufa bro; hizo kejeri za kifo siwezi kuzifanya. Wewe na mimi siku moja tutamfuata huko aliko ila yeye hawezi kuja kwetu tena
Tuachane na mama; tujadiri mradi wa mabasi ya mwendokasi, mradi uliokwama. Kichwa cha habari kinasema, "alieanzisha mradi wa mwendo kasi, lengo lake halikua kuwatesa...."Ok,now Rais ni Samia,marehemu hana msaada tena kwasasa
mh!Huyu mwanamke wa pemba arudi kwao
Hana huruma kabisa huyu mama
Niliona abiria wanapigwa makofi kimara na walinzi eti hawajaunga foleni...kwakweli Daslamu kinachowaeka mjini ni mdomoo tu. Wananchi wa huko makondoo we wadinye unavyotaka sawa tuAmani iwe nanyi watanzania
Sina uhakika huyu aliyeanzisha huu mradi wa mwendokas kama alikuwa na lengo na kutesa watanzania kiasi hiki
Na kama angejua watu watakuja kuteseka namna hii hakika asingeuanzisha
Utawala uliopo madarakani umeshindwa hata kusimamia huu mradi alafu wanataka tuwachague tena
Inauma sana kuongozwa kibabe namna hii na watu wasio na uwezo kuwa viongozi wa darasa la tano B
Mwendokas ni mateso jaman
MWENYEZI MUNGU mwenyewe aingilie huu ugomvi
LONDON BOY
Mungu amesikia kilio chenu atakifanyia kaziAmani iwe nanyi watanzania
Sina uhakika huyu aliyeanzisha huu mradi wa mwendokas kama alikuwa na lengo na kutesa watanzania kiasi hiki
Na kama angejua watu watakuja kuteseka namna hii hakika asingeuanzisha
Utawala uliopo madarakani umeshindwa hata kusimamia huu mradi alafu wanataka tuwachague tena
Inauma sana kuongozwa kibabe namna hii na watu wasio na uwezo kuwa viongozi wa darasa la tano B
Mwendokas ni mateso jaman
MWENYEZI MUNGU mwenyewe aingilie huu ugomvi
LONDON BOY